Picha:Tajiri namba moja lakini anaishi kawaida kabisa

Mleta mada bado sijamuelewa, sasa hii picha ndio inaonyesha maisha yake anaishi vipi?
 
Mimi nilifikiri anaishi kwenye nyumba ya kupanga na hata akipanda ndege hupanda daraja la economy!!! au anatembelea vitz !!!Kumbe unafikiri anaishi kawaida kwasababu ya muonekano wake ... duh,jipe moyo mpo sawa.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] yuko simple aseee
 
Pembe la ngombe halifichik.....pamoja NA mgaun wote huo ila bado vitu adimu vinaonekana
 
Hata Warren buffet ana live large, anajinafikia tu kwenye media kwamba he is frugal, its pointless kuwa na mabilioni ya dola hlf uishi kimaskini labda hela ziwe za masharti Tyta
ha ha mkuu maisha ya kimasikini ni yapi kweni? ukiwa tajiri huwezi kuishi maisha ya kimasikini by any means, lazima tu utaishi maisha ya kitajiri
 
Ungetenganisha hizo picha ili Dangote aonekane...hapo Mtu unaangalia macho yanavutwa kushoto.
 
Umetisha
 
Labda Ana utajir wa mashariti,weng wenye utajir wa uchaw wanaish kawaida wengine wanavaa had nguo zilizochanika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…