Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Ni wajinga tu ndio waliodhani JWTZ ipo upande wa PONDA kumbe katika JW kuna Waislam na hawaamini katika fujo kuna hakiKulikuwa na sababu gani ya kutumia jeshi la JWTZ safari ile kutawanya maandamano wakati askari wa kutuliza ghasia wana full gear. Kama hao walovaa body armor sijawahi ona isipokuwa Tanzania na kwenye filamu za majeshi ya zamani ya wafalme
kitendo cha JWTZ kupita bila silaha kilonyesha Watanzania Nchi inatawaliwa katika Sheria na ina Mtawala ndio maana mpaka leo wote wamefunga DOMO