stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
Wakuu kweli nimeamini Nazi haiwezi shindana na jiwe. Lady umekimbiza mbaya kwenye show yako pamejaa hadi watu walikuwa wanazuiliwa kuingia.
1.Juma Nature as usually kukimbiza
2.Sugu ndo usiseme
Kule kwa MwanaFA naskia kwanza kakataza kupiga picha then kazindulia viti kwani watu hamna kabisa zaidi ya wafanyakazi wa Clouds na Staffs wa wake. Waliokuja ni wachache sana.
TUNACHOJIFUNZA:-
Mwisho wa ubaya ni aibu kwani alipotangaza siku ya uzinduzi na nyie mkatangaza at the same day, alipoghairisha Show na nyie mkafanya hivyo na mwisho tena akapanga tarehe mpya ya uzinduzi na tena vilevile mkatangaza sasa kama ilikua sio kumkomoa nini?
1.Juma Nature as usually kukimbiza
2.Sugu ndo usiseme
Kule kwa MwanaFA naskia kwanza kakataza kupiga picha then kazindulia viti kwani watu hamna kabisa zaidi ya wafanyakazi wa Clouds na Staffs wa wake. Waliokuja ni wachache sana.
TUNACHOJIFUNZA:-
Mwisho wa ubaya ni aibu kwani alipotangaza siku ya uzinduzi na nyie mkatangaza at the same day, alipoghairisha Show na nyie mkafanya hivyo na mwisho tena akapanga tarehe mpya ya uzinduzi na tena vilevile mkatangaza sasa kama ilikua sio kumkomoa nini?