stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,759
- Thread starter
-
- #61
Stata mzuka. Nakubaliana na wewe. Kutumika ni kubaya. Nadhani kama ingekuwa mwanaFA kaamua show yake kivyake nadhani watu wangempa support lakini kuweka show kwa namna hii ya kutumika amekosea sana.
Sema "ingine hii hapa" na siyo "nyingine izi hapa". Wa wapi wewe hujui Kiswahili?
Cheki kikwapa hicho! Safari ijayo mshaurini atumie anti-perspirant deodorant. Halafu na hiyo outfit...duh!
Cheki kikwapa hicho! Safari ijayo mshaurini atumie anti-perspirant deodorant. Halafu na hiyo outfit...duh!
Bado tu hujaachaga kunusa makwapa ya watu? Kha.
Ila mmetia aibu aisee...
Bado tu hujaachaga kunusa makwapa ya watu? Kha.
Ila mmetia aibu aisee...
Boya huyo usikute ndo MwanaFatumA mwenyewe huyo.
unaonaje ukininukisha cha kwako kwenye training session ijayo?
Boya huyo usikute ndo MwanaFatumA mwenyewe huyo.