Uchaguzi 2020 PICHA: Tofauti ya umati wa watu kati ya CHADEMA na CCM

Kwani Mwamba wa kisukuma keshaenda huko kanda ya Nyasa?

Kwani M-Belgiji nae keshaenda Bariadi?

Subiri uuone mziki mnene ndio hautaamini ukisemacho
Hayo maswali kamuulize mumeo....hoja hapa ni ccm kulazimisha watu kwenda kwenye mikutano
 
Kweli unalinganisha bariadi na jiji la mbeya?
 


Usisahau hayo mabasi na maroli yamewachukua watu kwa trip kadhaa.
 
Nashangaa umeka picha ya drone amabyao imechukuwa watu kwa mbali sana kitu ambacho ninyi hamuwezi kukifanya hata mjipata watu bado mnachukuwa picha mlalo tu
Pili kupitia ukulasa wako naomba nipate jibu
Kwa nini picha zenu za jana mlizorusha YouTube mmefunga sehemu ya Comment hazikubali tutoa maoni?
Kama mlijaza watu na hamuogopi mbona mnafunga sehemu ya watu kutoa maoni au tusome wana nchi wanasema nini kuhusu hiyo nyomi na Sera?
 
Watu tunachagua wabunge baadae wanawarubuni eti kuunga juhudi , mbona awamu zilizo pita hawakuwa wahuni?
 
Kwani Mwamba wa kisukuma keshaenda huko kanda ya Nyasa?

Kwani M-Belgiji nae keshaenda Bariadi?

Subiri uuone mziki mnene ndio hautaamini ukisemacho
Tahadhari msituharibie image ya kabila la kisukuma hatuna tabia na roho za hivyo , ataje kabila lake alikotokea akiwa kabebwa mgongoni uhutuni huko .
 
Usisahau hayo mabasi na maroli yamewachukua watu kwa trip kadhaa.
Kukiwa na watu 10000 ukatoa 1500 wanabaki wangapi?
Ukubuke kati ya watu 10000 wataokuwapo kwenye mkutano CCM wenye kupigia kura ni 6000 CCM.

Badilika badilika ni 2000, hao 2000 wanaobaki kuna chadema na vyama vingine na wasio na chama.
Na kati ya hao 4000 CCM itapata kura 1500- 2000 jumla jibu unalo.

Chadema kama watakuwa 10000 kwenye mkutano wapiga kura wao ni chini ya 2000 kwa hiyo 8000 inabaki,

Kuna 5000 si wapiga kura kwa kuwa hawajajiandikisha na 3000 ni CCM wapiga kura.
Kwa vyovyote tutashinda tu.
 
Tahadhari msituharibie image ya kabila la kisukuma hatuna tabia na roho za hivyo , ataje kabila lake alikotokea akiwa kabebwa mgongoni uhutuni huko .
Hayo ni ya kwenu mkuu Chief Kabikula lakini tunachojua ni kwamba Rais wa JMT awamu ya tano Mheshimiwa John Pombe Magufuli ni Msukuma halisi......
 
Adi raha
 
Loooo! Lisu ndiye rais ajaye. Yule mwenye nyodo akapumzike
Sijawahi piga kura Ila kwa msoto huu walai mapema saa 4 asubui nikalisambaratishe jiwe na kutupa mabaki yake ziwani kabisa.
 
Watumishi wa umma wanalazimishwa kuhudhuria mikutano yake bwana yule huku ni bwana huyo huyo amesema hatawapandishia mishahara!!! Kweli kiatu cha baniani kizuri.
Halafu unakuta eti polisi na wakurugenzi wa tume wanajipendekeza kwa asiyejali maslai yao huku akikazia kila siku atoongeza mishahara.
Ipo hati hati asiwape kabisa mishahara pesa Hakuna achelewi kusema anaetaka kufanya kazi afanye asiyetaka aache Hadi Hali itakapokuwa sawa hela Hakuna
 
Jaman nataka kusoma nyuzi za wale watu wanaotabiri halaf mambo yanatokea baadae
 
Huko zenji mambo ni 🔥🔥, wameambiwa waandike wosia kabsaaa. Ugali moto,mboga moto...hamna nafuu. Rais wetu tunamfahamu,anaweza akaamrisha jeshi kufanya kituko
 
Kama wewe ni mtumishi wa umma, hujaongezewa mshahara au hujapandishwa daraja tangu 2015, unakatwa makodi kibao yasiokunufaisha wewe moja kwa moja, unakatwa mshahara kuchangia vyama vya wafanyakazi ambavyo havikusaidii, na unajua huwezi kupata mafao yako ukishindwa kuendelea na kazi hadi ufikishe miaka 60, na bado unashabikia CCM na Magufuli...
Wewe sio mjinga.
Wewe ndio ujinga wenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…