Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kavaa dela kijora au kanzu??My take:
Hawa watu bado ni magaidi.Hii personality ni ya magaidi[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1895484
Hawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu [emoji1787],kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Sikiliza demu nikwambie kitu.....Hawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu [emoji1787],kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Fyuuuuuuu
Wanaishi maisha yao na wana amani mkuuHawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu [emoji1787],kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Marekani wenyewe wamesalimu amri, ww wa kisasa una nn cha kujivunia??Hawa watu wengine wamepitwa sana na ulimwengu [emoji1787],kujifanya waislam lkn ndo kuonekana kituko kama hivi[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Hahaha hawa wabishi hawafai kbsa
Amani????????Wanaishi maisha yao na wana amani mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hayo magunia aliyovaa unaweza dhani ni jogoo mkubwa sana
Huyo charisa wad ni reporter wa CNN au talebanNaangalia CNN hapa kuna huyu reporter wao Charissa Ward ni KE anaripoti live kutoka Kabul nyuma yake kuna Mataliban kama 6 au 7 hivi na mitutu yao tayari tayari kama vile wanategemea kushambuliwa dakika yoyote.