Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Kwan wewe unaonaje,jinsi anavyozidi kuropoka.
Kwani amejitakia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani amejitakia?
Asiyefunzwa na *****,...
Kifua hicho dadaHajui kitakachofuata
naye kaitwa ?Jamani nyie mastaa mna vituko ,kutwa kutuvalia vinguo vya ajabu insta kumbe mnajuaga kuvaa kiheshima?
Haya wasalimie huko, usisahau kumtaja teja mwenzio Young dee.
.![]()
![]()
Maana akitoka huko hata hamu na kaself Hana hako ka kuagia mashabiki zake😀😀😀😀 imeshakua fasheni saivi ukiitwa police na kaselfi ka ukumbusho muhimu maana......
Tehe! Thubutu! Ile kwake?Hiki ndo kipindi cha kuonyesha unajua ku-care, hapo unatakiwa kumpa kampani bebi huku ukimliwaza sasa sijui akina Hance Mtanashati wamekimbia wapi mpaka mtoto anaripoti peke yake!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tehe! Thubutu! Ile kwake?
Wow [emoji4] [emoji4]My daughter is your namesake, she just reached 2 this month.