PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

Unataka avae pedo kama unazovaa weweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ewwwwww
 
Kuna mashindano ya fashion..?
 
Sasa wewe, sisi ndio tunajua wewe ni Mke wake mpendwa badala ya kuhakikisha unampendezesha mumeo kabla hajatoka nyumbani wewe unakuja kutulalamikia huku, sisi tukusaidie nini.

Bureeee kabisa jina lako lenyewe tu limekaa Kishamba eti unaitwa Mwashambwa
 
Kama mnaleta ligi ya kuvaa mnadhani ni kiongozi gani wa kitaifa anayevaa vizuri? Sasa kama hana mshauri wa namna ya kuvaa anapotoka mbele ya hadhira mnataka Lissu avaaje?
 
Kama mnaleta ligi ya kuvaa mnadhani ni kiongozi gani wa kitaifa anayevaa vizuri? Sasa kama hana mshauri wa namna ya kuvaa anapotoka mbele ya hadhira mnataka Lissu avaaje?
Mama Anavaa kwa mpangilio unaoeleweka na kwa kulingana na tukio
 
Watu wengi wa CCM vichwani hawana akili kabisa ndio maana uwezo wao huwa ni ku deal na vitu vidogo vidogo ambavyo havina maana na hiyo ndio kazi kubwa ya wajinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…