Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Wewe ndiye huna FaidaWewe ni wakutolewa kafara Huna faida kwa JAMHURI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye huna FaidaWewe ni wakutolewa kafara Huna faida kwa JAMHURI.
Hata Kuna Uzi wa mseven alichangia vizuri mpaka wadau wakawa wanashangaa wakasema Lucas hujizima data kwa kujua/ makusudi kuwafuraisha wanaomtuma.Sijui ni sababu ya kutolewa kafara na wazazi wake, mimi nikiongea naye live huwa ni mtu mwema, sema kuna saa UWT wenzake wanamtuma.
Uwe na adabu dogoSijui ni sababu ya kutolewa kafara na wazazi wake, mimi nikiongea naye live huwa ni mtu mwema, sema kuna saa UWT wenzake wanamtuma.
Mimi situmwi kama unavyotumwa weweHata Kuna Uzi wa mseven alichangia vizuri mpaka wadau wakawa wanashangaa wakasema Lucas hujizima data kwa kujua/ makusudi kuwafuraisha wanaomtuma.
Shida anatumwa lakini ni mtu mwema mimi na yeye tunafahamia vzr sn, kingine anateswa na umasikiniHata Kuna Uzi wa mseven alichangia vizuri mpaka wadau wakawa wanashangaa wakasema Lucas hujizima data kwa kujua/ makusudi kuwafuraisha wanaomtuma.
Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufaBibi yako mwenyew unayemuimba anatosha anatosha mbona naye anavaa minguo hata haieleweki, utadhani anaenda kumchamba mgoni!!.
Kwani yeye hana akili ya kujua aina ya nguo ya kumtosha akivaa?Ajapata meneja wa mavazi kama wanamuziki
Kwanza hakuna mashindano ya mavazi sisi tunataka maendeleoBibi yako mwenyew unayemuimba anatosha anatosha mbona naye anavaa minguo hata haieleweki, utadhani anaenda kumchamba mgoni!!.
Embu acha uchizi wako hapa wewe 😄😀Shida anatumwa lakini ni mtu mwema mimi na yeye tunafahamia vzr sn, kingine anateswa na umasikini
Ni kama wewe tu unavoandika ushamba humuNdugu zangu Watanzania,
Unapokuwa kiongozi mkubwa inategemewa uwe smart kwa kila kitu au kwa mambo mengi sana. Kuanzia uvaaji wako wa mavazi, mpangilio wa nguo wa ipi ivaliwe wakati gani na katika tukio lipi na hata muonekano tu wa rangi ya nguo.
Unapokuwa kiongozi mkubwa hata ukataji wako tu wa nywele ni lazima uakisi ukumbwa wa nafasi yako kiuongozi. Siyo kiongozi unakata nywele kihuni huni tu Utafikiri ulitegesha tu kichwa kwa kinyozi anayejifunza kunyoa .huku wewe ukiwa umefumba macho Utafikiri unakwepa vumbi .
Hata ufungaji tu wa mkanda wako kiunoni ni lazima uwe wa makini . Na siyo unafunga suruali Utafikiri mkanda ni mdogo huku suruali likiwa limekunjamana Utafikiri lilikaliwa na abiria au uliweka kichwani ulipokuwa umelala usiku au Utafikiri ulilala nalo kwenye Mkeka .
Hata namna ya kukaa tu kwenye kiti uwapo mahali popote pale kuna mikao yake. Na siyo unakaa kwenye kiti mbele ya Camera utafikiri unaoto moto .umetandaza miguu Utafikiri upo Mwenyewe. Kiongozi wewe ni wa mfano na hivyo inahitaji umakini sana.
Sasa ukimuangalia Lissu unaona ni mtu ambaye yupo kishamba sana ,ni mtu ambaye bado ukijiji haujamtoka kichwani. Unajua mtu anaweza akatoka kijijini na kuishi mjini lakini akawa bado ana kijiji na ukijiji kichwani mwake ,akawa bado ana mapori kichwani na akilini yanayohitaji kufyekwa .
Embu Tazama hapa Lissu ambaye ndiye Anajiita Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa .Embu angalia hilo koti lake Utafikiri alipimwa mtu mwingine halafu ndio akashonewa na akavalishwa lissu. Kiukweli Lissu anasikitisha sana. Na hapo ni msomi ambaye amesoma mpaka Ulaya na kuzunguka Ulaya lakini haya ndio Makoti yake anayovaa leo mwaka 2025. Halafu eti anataka awe Rais. Sijui ili amuongoze Nani.
Angalia hapa👎View attachment 3252722
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Leo huingii job?Embu acha uchizi wako hapa wewe 😄😀
Maendeleo yanaanzia kichwani ya namna mtu unavyo fikiri na kuwaza. Sasa kama mtu anashindwa hata kuwaza namna ya uvaaji wake.ni vipi atakuwa na mawazo ya maendeleo? Ndio maana mnaona ameanza kuwachangisha pesa chamaniKwanza hakuna mashindano ya mavazi sisi tunataka maendeleo
Iga kutafuta hela kama yeye na kuwa mtu wa muhimu kwenye taifa kama yeye sio kuwandika vitu visivyo vya msingi mtandaoniEmbu acha vichekesho basi. Hivi hayo ndio mavazi ya kuonea wivu? Utaiga nini hapo sasa?
Mimi siandikagi ushambaNi kama wewe tu unavoandika ushamba humu
Yanatakiwa kuwa ajeLakini picha ya Magufuli ni ya miaka ya 1995.
Hoja ya Lucas bado ina mashiko.
Mavazi ya mwaka 2025 hayatakiwi kuwa sawa na Yale ya 1995 kurudi nyuma!.
Lissu anatafutia wapi pesa wakati unaona anaomba hadi hela ya kununua gari? Embu sema ni shughuli gani ya kumuingizia kipato cha kila siku anayoifanya Lissu kwa sasa?Iga kutafuta hela kama yeye na kuwa mtu wa muhimu kwenye taifa kama yeye sio kuwandika vitu visivyo vya msingi mtandaoni
Sasa hapo kuna issue umeongea si ushamba tu unaongelea mavazi ya mwanaumeMimi siandikagi ushamba
Kwahiyo CCM mmeshindwa kuleta maendeleo sababu hamvai vizuri? hovyo kabisaMaendeleo yanaanzia kichwani ya namna mtu unavyo fikiri na kuwaza. Sasa kama mtu anashindwa hata kuwaza namna ya uvaaji wake.ni vipi atakuwa na mawazo ya maendeleo? Ndio maana mnaona ameanza kuwachangisha pesa chamani