PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

PICHA: Tundu Lissu anavaa kishamba sana utafikiri wanasiasa wa wakati wa ukoloni

Mbona zamani walikuwa wanavaa magome ya miti hata hivyo mimi siungi mkono matumizi ya bidhaa za watu wengine inawezekana hapo ulipo unatumia simu aliyotengeneza mchina, chupi,kandambiki, mashuka tv,rm radio, (subwoofer), kwa ufupi chunguza vitu tunavyotumia vinatoka nje ya nchi inamaanisha mshamba wa nchini mwetu ni yulebanaye hakikisha nchi zingine zina neemeka kwa fedhabzetu, kwakweli ni ushamba uliokubuhu kutumia vitu vilivyo tangenezwa ama kuundwa na watu wengine badala ya vya kwetu

Ukoloni mambo Leo, (Neocolonialism), kwasasa tunatawaliwa kifikra na kiuchumi, tunatumia pia tekinolojia za watu wengine
Kwa hiyo unataka tuendelee kuvaa magome ya miti.
 
Hakuna mwenye kuvaa kishamba hivyo
suti (1).jpg
 
Hilo ni Coat of arms, yaani kaona hela ya ruzuku imetoka, ili tu aitumie vibaya, kamwambia fundi azidishe saizi ya nguo, hovyo kabisa, hovyo sana
 
Back
Top Bottom