Pre GE2025 PICHA: Tundu Lissu aongezeka jopo la Mawakili kumtetea Dkt. Slaa Kisutu, kesi ya kusambaza taarifa za uongo

Pre GE2025 PICHA: Tundu Lissu aongezeka jopo la Mawakili kumtetea Dkt. Slaa Kisutu, kesi ya kusambaza taarifa za uongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Linus w slaa

New Member
Joined
Jan 29, 2025
Posts
4
Reaction score
7
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuungana na jopo na mawakil linalomtetea Dk. Wilbroad Slaa anayeshtakiwa kwa makosa ya kuchapisha taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii.

1738228515913.png
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuungana na jopo na mawakil linalomtetea Dk. Wilbroad Slaa anayeshtakiwa kwa makosa ya kuchapisha taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii.

1738226908915.png



Pia, Soma:
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuungana na jopo na mawakil linalomtetea Dk. Wilbroad Slaa anayeshtakiwa kwa makosa ya kuchapisha taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii.

Wale waliodai kwamba eti amekwepa Kukamatwa ndio maana hajaenda kumtetea huyo Babu yenu wako wapi?

Machadomo ni mjinga sana yanajizushia upuuzi yenyewe 😂😂
 
Kumbe huyu jamaa ana uelewa fulani hivi na kupitia hiki alichofanya nishapata picha moja sana ooooooooh ,

MY COUNTRY
 
Dr Slaa Mbowe ni gaidi.
Samehe saba mara sabini... 2015 huyu Mzee aliiumiza Sana CHADEMA. Ila uchunguzi ulipofanyika ikagundulika Delilah ndiye alikuwa starring wa picha zima.

Halafu mbele ya safari akamtelekeza Mzee wa watu 😥
 
Back
Top Bottom