Judi wa Kishua
JF-Expert Member
- Apr 15, 2012
- 1,159
- 1,274
Lissu ni politician au socialite?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sn ilitakiwa na Peter Kibatala awepoMwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuungana na jopo na mawakil linalomtetea Dk. Wilbroad Slaa anayeshtakiwa kwa makosa ya kuchapisha taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii.
Umeelewa ulichoandika?Wale waliodai kwamba eti amekwepa Kukamatwa ndio maana hajaenda kumtetea huyo Babu yenu wako wapi?
Machadomo ni mjinga sana yanajizushia upuuzi yenyewe 😂😂
Sisi hatushangai hao wote walikuwa ni wanachama wa CCM. Mapandikizi yetu ndani ya chadomo.Yes. But watu wenye akili huwa hawaweki kisasi au hasira ndani. Sisi wanaume huwa hatuweki hiyo kitu. Slaa aliongea mabaya kipindi hicho analamba asali. Lakini haina haja ya kumlipa mabaya. Nadhani Lissu amefanya jambo la hekima na ameonesha ukomavu mkubwa sana.
HapanaUmeelewa ulichoandika?
Na CCM ndiyo wanataka chuki sababu ndiyo mfumo wao rasmiCCM kweli imekosa watu wenye busara. Hivi kumtesa Dr. kunawaletea faida gani zaidi ya kuongeza chuki dhidi yake?
Ni suparstar!Lissu ni politician au socialite?
Socialite? Hivi maana ya "Public figure" ni nini? Unaweza kuwa public figure kwa kujifungia chumbani?Lissu ni politician au socialite?
NonsensesSamehe saba mara sabini... 2015 huyu Mzee aliiumiza Sana CHADEMA. Ila uchunguzi ulipofanyika ikagundulika Delilah ndiye alikuwa starring wa picha zima.
Halafu mbele ya safari akamtelekeza Mzee wa watu 😥
Afadhali... Maana kama wewe mwenyewe huelewi ulichoandika sisi wengine wala tusisikitike kutokukuelewa.Hapana
Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa maridhiano wengine mwisho wenu ni kuoza na kunuka tuMaridhiano yalifanya kazi leo Lissu anatembea bila wasiwasi!
Yes jamaa katengeneza identity yakeSocialite? Hivi maana ya "Public figure" ni nini? Unaweza kuwa public figure kwa kujifungia chumbani?
CCM haina watu vilaza kama wewe. Na inajua Lissu hashikiki.Sisi hatushangai hao wote walikuwa ni wanachama wa CCM. Mapandikizi yetu ndani ya chadomo.
Unajua maana ya socialite? Maana usije ukawa umesikia kwa watu nawe umebeba hivyo hivyo....Lissu ni politician au socialite?
Nimekuja kugundua tulikua tunajadiliana na watoto humu.Ngoja watoka povu waje😃😆😀
Hujui kuwa hao wote walikuwa ni wanachama wetu?CCM haina watu vilaza kama wewe. Na inajua Lissu hashikiki.
LISSU HATUKUTAKA AWE MWENYEKITI. NI MJEURI NA MSUMBUFU HATA SAMIA ALISEMA.Hujui kuwa hao wote walikuwa ni wanachama wetu?