Linus w slaa
New Member
- Jan 29, 2025
- 4
- 7
Dr slaaa alisema lissu kajipiga risasiFAM najua hajapenda hii directly
Yes. But watu wenye akili huwa hawaweki kisasi au hasira ndani. Sisi wanaume huwa hatuweki hiyo kitu. Slaa aliongea mabaya kipindi hicho analamba asali. Lakini haina haja ya kumlipa mabaya. Nadhani Lissu amefanya jambo la hekima na ameonesha ukomavu mkubwa sana.Dr slaaa alisema lissu kajipiga risasi
Kwani hii nchi ni yaccm ni yetu sote acha ujingaMaridhiano yalifanya kazi leo Lissu anatembea bila wasiwasi!
Siyo Wakili?Anatembea na upepo
Wale waliodai kwamba eti amekwepa Kukamatwa ndio maana hajaenda kumtetea huyo Babu yenu wako wapi?Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu akiwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo kwa ajili ya kuungana na jopo na mawakil linalomtetea Dk. Wilbroad Slaa anayeshtakiwa kwa makosa ya kuchapisha taarifa za uongo katika mitandao ya kijamii.
Wao ndio wanatembelea upepo wake.Anatembea na upepo
Samehe saba mara sabini... 2015 huyu Mzee aliiumiza Sana CHADEMA. Ila uchunguzi ulipofanyika ikagundulika Delilah ndiye alikuwa starring wa picha zima.Dr Slaa Mbowe ni gaidi.
Kabisaa, hata wahuni wanatembea na mkeo bila wasiwasiMaridhiano yalifanya kazi leo Lissu anatembea bila wasiwasi
Umeona hili ndio tusi kubwa kwako ulivyo mshamba mama yako anapakuliwa huku anatembea!Kabisaa, hata wahuni wanatembea na mkeo bila wasiwasi