Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Naona huu msiba wa Profesa Sarungi unaendelea kukutanisha magwiji mbalimbali wa siasa hapa nchini.
Soma pia: Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa, akiwemo Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu na aliyekuwa kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe wakiwa katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam leo Jumatatu Machi 10, 2025 kwa ajili ya kuaga mwili wa Profesa Philemon Sarungi.
Naona huu msiba wa Profesa Sarungi unaendelea kukutanisha magwiji mbalimbali wa siasa hapa nchini.
Soma pia: Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa, akiwemo Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu na aliyekuwa kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe wakiwa katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam leo Jumatatu Machi 10, 2025 kwa ajili ya kuaga mwili wa Profesa Philemon Sarungi.