Si ndio hapo sasa!? Kila mtu anasema lake acheni mukisenge bhaana! Lol!
Limejitosheleza
HahahahaaSi ndio hapo sasa!? Kila mtu anasema lake acheni mukisenge bhaana! Lol!
View attachment 482114Nilienda Uganda kwenye mitkasi yangu nikabook lodge moja Kali tu donwtown Cumpala pale Bakuli mu bitara.
Tangazo lao likanitisha maana kila baada ya sentensi moja kuna neno kisenge..loh!
Im curious what is that word mean! Kisenge?
NIMEPATA JIBU LA SWALI LAKO NA MAANA YA NENO KISENGE NI KITANDA!View attachment 482114Nilienda Uganda kwenye mitkasi yangu nikabook lodge moja Kali tu donwtown Cumpala pale Bakuli mu bitara.
Tangazo lao likanitisha maana kila baada ya sentensi moja kuna neno kisenge..loh!
Im curious what is that word mean! Kisenge?
Sio kweli mkuun wengine wanasema kisenge ni chumba.NIMEPATA JIBU LA SWALI LAKO NA MAANA YA NENO KISENGE NI KITANDA!
Webale banange usanide kisengeKiganda ni muluga muzuri sana sana wakabi!
mbona mnapishana kwenye tafsiri mara KISENGE ni chumbani mwingine anasema NO tutaelewaje. au hamjatoa Bukoba maana ndio mnaweza mkaelewa iyo lugha nasikia wa bukoba wanaelewana na waganda