Picha : Ukitaka kuwa tajiri uwe na roho ngumu haswa

Picha : Ukitaka kuwa tajiri uwe na roho ngumu haswa

Usikute hapo kalala na mkewe, na wala haishangazi sababu kuna ambaye keshakutwa akiwangilia mbuzi. Kuna Binadamu wana fantacy za ajabu ajabu mno.
FB_IMG_17339075812642045.jpg
FB_IMG_17339075722758586.jpg
 
Hao ni pets tu kama unavyofunga sungura basi yeye kafuga huyo..
Hakuna uhusia na ulichokiandika hapo
 
We jamaa una_masihara sana😃
kweli mkuu wanakuambia pesa sabuni ya roho!, huyo chatu kwajinsi alivyo na adabu na boss wake hawezi kujisaidia hapo kitandani anaenda eneo lake anajisaidia nakujusafisha halafu anarudi kitandani kama hataki akalale machakani!, sasa akifikiria maisha ya machakani anaona isiwe tabu acha nitulize umbo langu hapa...🤣
 
kweli mkuu wanakuambia pesa sabuni ya roho!, huyo chatu kwajinsi alivyo na adabu na boss wake hawezi kujisaidia hapo kitandani anaenda eneo lake anajisaidia nakujusafisha halafu anarudi kitandani kama hataki akalale machakani!, sasa akifikiria maisha ya machakani anaona isiwe tabu acha nitulize umbo langu hapa...🤣
hahaha 🤝
 
Back
Top Bottom