Picha : Ukitaka kuwa tajiri uwe na roho ngumu haswa

Hao ni pets tu kama unavyofunga sungura basi yeye kafuga huyo..
Hakuna uhusia na ulichokiandika hapo
 
We jamaa una_masihara sana😃
kweli mkuu wanakuambia pesa sabuni ya roho!, huyo chatu kwajinsi alivyo na adabu na boss wake hawezi kujisaidia hapo kitandani anaenda eneo lake anajisaidia nakujusafisha halafu anarudi kitandani kama hataki akalale machakani!, sasa akifikiria maisha ya machakani anaona isiwe tabu acha nitulize umbo langu hapa...🤣
 
hahaha 🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…