Picha:Umati wa watu ukigombania kupiga picha na RC Makonda

Picha:Umati wa watu ukigombania kupiga picha na RC Makonda

Kajolijo

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
3,364
Reaction score
4,612
Kweli huyu mkuu anapendwa sana, huku watu wa wakimdis RC makonda hiyo ni picha ya watu waliokua wanajiselfie na Rc huyo huku wakitamani awe RC wao,..
e82c7682d7c3e9ff5cafb0cd0d5301d9.jpg
 
ndio dunia

huwezi kuchukiwa na wote

huwezi kupendwa na wote

Hitler alipendwa pia, Idd Amini alipendwa pia

Yesu na Muhammad walichukiwa


Inatia aibu pale mtu anapotaka kulazimisha hisia zake ziwe zako!!! na wale wafuata mkumbo wa hisia ndio tunawaita jina la yule mnyama
 
Back
Top Bottom