screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Unajua kufeli darasa la 4 na kuzungusha form four halafu unakuja kuwa mkuu wa mkoa ni jambo la kushangaza, mtu wa namna hiyo ukimuona ni lazima uombe selfie kwa kumbukumbu.Haikuwahi kutokea mtu aliyefeli darasa la 4 kuwa mkuu wa mkoa tangu enzi za uhuru