N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Niko napiga jalamba humu beach ya Mbezi Beach kwa kweli hizi FUKWE ni chafu sana. Ni bahati mbaya pia kwamba hizi ndio FUKWE zilizopo ukanda wenye Mahoteli ya Kitalii kama vile White Sands, Ramada, The Waves, Landmark nk....Mkuu wa Mkoa wa Dar hili ni la kulivalia njuga kama mlivyofanikiwa Coco Beach.
Hii inakwaza pia ukuaji wa utalii Dar. Uchafu hauvutii utalii wa FUKWE na eneo hili Lina beaches nzuri sana ila chafu sana.
Hii inakwaza pia ukuaji wa utalii Dar. Uchafu hauvutii utalii wa FUKWE na eneo hili Lina beaches nzuri sana ila chafu sana.