PICHA: UNAHITAJIKA MKAKATI WA KUSAFISHA FUKWE ZA DAR NYINGI NI CHAFU SANA

PICHA: UNAHITAJIKA MKAKATI WA KUSAFISHA FUKWE ZA DAR NYINGI NI CHAFU SANA

Watu wa mazingira wanachukua kodi lakini hazifabyi kazi yake
kwa mawazo yako unadhani ni jukumu la nani kuhakikisha hizo fukwe zinakuwa safi. ni jukumu la NEMC? Halmashauri ya Jiji Dar, Manispaa ya Wilaya husika au nani?
 
Beach zinasafishika, hiyo raw sewage CocoBeach wamemudu vipi kuiondoa mbona hizo beaches zina usafi kabisa
Zinaonekana safi lakini hizo beach ukipima kiasi cha fecal matters utaona hazifai kabisa kuogelea.
 
Niko napiga jalamba humu beach ya Mbezi Beach kwa kweli hizi FUKWE ni chafu sana. Ni bahati mbaya pia kwamba hizi ndio FUKWE zilizopo ukanda wenye Mahoteli ya Kitalii kama vile White Sands, Ramada, The Waves, Landmark nk....Mkuu wa Mkoa wa Dar hili ni la kulivalia njuga kama mlivyofanikiwa Coco Beach.

Hii inakwaza pia ukuaji wa utalii Dar. Uchafu hauvutii utalii wa FUKWE na eneo hili Lina beaches nzuri sana ila chafu sana. View attachment 3192322View attachment 3192324View attachment 3192326
Hao wenye uwekezaji wamefanya juhudi gani kusafisha maeneo yao na yanayowazunguka?Hapo ni sawa na mwenye nyumba anavyotakiwa kusafisha eneo la reserve na mitaro anayopakana nayo.Tuanze na wao kwanza tuone juhudi zao.
 
Hao wenye uwekezaji wamefanya juhudi gani kusafisha maeneo yao na yanayowazunguka?Hapo ni sawa na mwenye nyumba anavyotakiwa kusafisha eneo la reserve na mitaro anayopakana nayo.Tuanze na wao kwanza tuone juhudi zao.
Wanalipa kodi ya taka kwenye maeneo yao pekee... eneo la ufukwe ni mali ya serikali na hairuhusiwi kufanya shughuli zozote kule. Hakuna njia ya kukwepa wajibu huu wa halmashauri/manispaa/LGAs kusafisha maeneo yanayowahusu ingali wanakusanya ushuru.

Watalii na watumiaji wa maeneo haya wanatozwa ushuru na baadhi ya fukwe, kama vile Ununio, zina ada ya kuingia;

ushuru huo unapaswa kutumika kuhakikisha usafi unafanyika katika maeneo hayo.

Kwa hoja yako basi na wamiliki wa maduka yaliyo karibu na barabara kuu zikiwamo za lami wanapaswa kufagia lami kwa sababu lami zipo mbele ya maduka yao!!!?
 
Fukwe zetu ni mali ya umma! Baadhi ya fukwe zinazomilikiwa na mahoteri binafsi ni safi sana! Mfano wet&wild, whitesand, silversand. Sasa beach za cocobeach ni cha wote!
Kwa nini umma ni mchafu? Hawezi kukumbushwa akawa msafi? Hata kwa lazima?
 
Niko napiga jalamba humu beach ya Mbezi Beach kwa kweli hizi FUKWE ni chafu sana. Ni bahati mbaya pia kwamba hizi ndio FUKWE zilizopo ukanda wenye Mahoteli ya Kitalii kama vile White Sands, Ramada, The Waves, Landmark nk....Mkuu wa Mkoa wa Dar hili ni la kulivalia njuga kama mlivyofanikiwa Coco Beach.

Hii inakwaza pia ukuaji wa utalii Dar. Uchafu hauvutii utalii wa FUKWE na eneo hili Lina beaches nzuri sana ila chafu sana. View attachment 3192322View attachment 3192324View attachment 3192326
Kama masoko ni machafu vivyo hivyo haya masoko ya Kokobichi nayo yanatengeneza takataka, suluhisho ni kuyaondoa.
 
Kama masoko ni machafu vivyo hivyo haya masoko ya Kokobichi nayo yanatengeneza takataka, suluhisho ni kuyaondoa.
taka za wanaofanya biashara Coco Beach kwa mfano ziko very well managed. Hata hayo mahoteli huko Mbezi beach nakozungumzia taka zao wanazimanage vizuri, tatizo lipo kwenye taka zinazosukumwa na maji zipo hapo na zinasababusha beach kuwa chafu sana hazifai hata kwa mazoezi unaweza kuchomwa na vitu vyenye ncha kali.
 
Back
Top Bottom