Fukwe zetu ni mali ya umma! Baadhi ya fukwe zinazomilikiwa na mahoteri binafsi ni safi sana! Mfano wet&wild, whitesand, silversand. Sasa beach za cocobeach ni cha wote!Niko napiga jalamba humu beach ya Mbezi Beach kwa kweli hizi FUKWE ni chafu sana. Ni bahati mbaya pia kwamba hizi ndio FUKWE zilizopo ukanda wenye Mahoteli ya Kitalii kama vile White Sands, Ramada, The Waves, Landmark nk....Mkuu wa Mkoa wa Dar hili ni la kulivalia njuga kama mlivyofanikiwa Coco Beach.
Hii inakwaza pia ukuaji wa utalii Dar. Uchafu hauvutii utalii wa FUKWE na eneo hili Lina beaches nzuri sana ila chafu sana. View attachment 3192322View attachment 3192324View attachment 3192326
Uchafu ni maplastiki, sasa hayo mabaki ya mimea unaita uchafu?Niko napiga jalamba humu beach ya Mbezi Beach kwa kweli hizi FUKWE ni chafu sana. Ni bahati mbaya pia kwamba hizi ndio FUKWE zilizopo ukanda wenye Mahoteli ya Kitalii kama vile White Sands, Ramada, The Waves, Landmark nk....Mkuu wa Mkoa wa Dar hili ni la kulivalia njuga kama mlivyofanikiwa Coco Beach.
Hii inakwaza pia ukuaji wa utalii Dar. Uchafu hauvutii utalii wa FUKWE na eneo hili Lina beaches nzuri sana ila chafu sana. View attachment 3192322View attachment 3192324View attachment 3192326
Wawajibike wasafishe fukwe chafu sana.Mamlaka husika wawajibike. Huu ni uzembe kupitiliza
Ooh nina muda sijafika hapo ....... nitajitahidi huko Tuendako nifike Tena The waves....Ipo kwenye ukarabati hakuna kinachohapeni siku hizi