Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Kwa wakazi wa Dar, leo mvua imetandika kweli kweli na baadhi ya maeneo kupata athari kubwa na ndogo. Mada hii tutupie picha au video ili mamlaka waweze kuona sehemu zilizoathirika waweze kuchukua hadhari mara moja.
Kumbukeni Rais Samia ashasema huwa anapita pita JF kusoma maoni ya mwananchi.
---
Hizi video ni daraja la Tegeta kwa Ndevu.
Kumbukeni Rais Samia ashasema huwa anapita pita JF kusoma maoni ya mwananchi.
---
Hizi video ni daraja la Tegeta kwa Ndevu.