Picha/Video: Madhara ya mvua iliyonyesha Dar es Salaam leo Machi 19

Ongezeni Umakini, mvua hizi Si masika ya kawaida tuliyozoea.
 
Mbunge wako ni nani na anatoka chama gani, jiji linapanuka ,miundo mbinu yake bado aliyoiacha mkoloni wa kijerumani, jiji halina kabisa underground drainage systems na hayo ndio matokeo yake, yule mgombea aliyeahidi kuwapeleka USA hajafanya hivyo?,tumia vizuri kura yako 2025 usiongopewe tena
 
Kwahyo asiwalinde au Kuokoa familia sasa, asubiri uchaguzi 2025?

Kwako Kila kitu unawaza sias uchwara!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…