Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
I can't say that coz am not a witch. Only witches can say that.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
whichcraft ndio nini Arifu?
Yani hyo video kwa picha hyo 2 nishaipenda b4 hata sijui nn ataimba humo. Diamond hafai ni next next level. . Huku akiwa na nyimbo top 10 trace tv lkn bdo achoki huyu mondi cjui anataka nn dah.
Kuomba poo kivipi. Hivi unafikiri kwa akili yko mondi anamuwaza Kiba. Kiba bdo ni msanii chipukizi kama ulivyosema juzi anasubir kugombania tuzo za chanel o hahahaha.
Ali Kiba hawezi kufikia levels za Diamond hata nusu yake...
Diamond anaiwakilisha vyema tanzania, anatakiwa kuingia soko la ulaya na marekani....
Afrika imemtosha sasa...
Ha haaa upande wa pili naona wamefuliaaa...
Wapi kiba
Kuomba poo kivipi. Hivi unafikiri kwa akili yko mondi anamuwaza Kiba. Kiba bdo ni msanii chipukizi kama ulivyosema juzi anasubir kugombania tuzo za chanel o hahahaha.
Ya yule msanii chipukizi....????
Hyu jamaa bwana mtu Fulani akitaka kutoa wimbo mpya utamckia "should I drop this one ?" Mara "natamani nifumue na Hii"
Kama kanapaniki vile
Yuleyule anayewasumbua vichwa mpaka mnakimbia nchi kusaka makolabo
Mbona anawahenyesha sana kiba??! Hivi inakuwaje mnahangaishwa na mtu mnayedai kuwa si level yenu??? Kwa nini hamjiamini.