Picha: Video nyingine ya Diamond njiani!

Picha: Video nyingine ya Diamond njiani!

Kika anawaudha nyinyi, diamond sio level ya mwanamuziki yeyote EA, sauti sol wenyewe wameliongea hilo bila kinyongo... Afu kijitu cha mchangani kinajifanya kututumua mbavu hahahaha..

Kumuongelea kiba tutazidi sana kumuongelea coz, ndio njia pekee ya kudeal na watu ainayenu,
Chibu dangote collable kaanza kufanya 2013 my number one remix na davido, huohuo mwaka akafanya na iyanya "nakupenda" wimbo wa kwanza yeye kushirikishwa na msanii mkubwa... Enzi hizo huyo kibakuli wenu anazunguka saccos ili aweze kuishi baada ya game kuwa gumu acha kuniambia dangote alikuwa anamuwazia kibakuli 2013 hahahaha

Afu nikurekebishe my number one aliyoimba diamond pekeyake ndio iliyompa tuzo 3 kwenye channel o na sio my number one remix, mdogo mdogo imempa IRAWAMA ya marekani kuwa mtumbuizaji bora Afrika 2014, akimshinda davido wako na aye Nyambaaaaaaaaaaaaaaaafu mwaka mchungu sana huu unataka ku compare bajaji na ferrari aaaaaaaaaaah bwanaaa

Hili gazeti lote linaonyesha jinsi mlivyopagawa hahaahaha mbona mwaka huu mtasema sana historia. Hahahahahah wapi davidooooooo. Cheaters
 
Hili gazeti lote linaonyesha jinsi mlivyopagawa hahaahaha mbona mwaka huu mtasema sana historia. Hahahahahah wapi davidooooooo. Cheaters

l☝😂😂😂😂 umeishiwa hoja hahahaha

This is exactly what i want sio unakuja kichwa kichwa with empty head and still you want tu stand beside an intellectul ✋...

#nanamediatour #nigeria #roadtomama2015 let's go usisahau kupiga kura sasa mtvmama kibakuli anakesha kumpigia davido, na Flavour amebakia kuwa mshabiki tu akiangalia wanaume wenye mauwezo yao wanavyopambana hahaha
 
l☝😂😂😂😂 umeishiwa hoja hahahaha

This is exactly what i want sio unakuja kichwa kichwa with empty head and still you want tu stand beside an intellectul ✋...

#nanamediatour #nigeria #roadtomama2015 let's go usisahau kupiga kura sasa mtvmama kibakuli anakesha kumpigia davido, na Flavour amebakia kuwa mshabiki tu akiangalia wanaume wenye mauwezo yao wanavyopambana hahaha

Kukuignore sio kuishiwa hoja mzee tatizo unaish kwa kutumia past na sio present, wake up dude hiyo historia tulinyakua tuzo bla bla bla ukijumlisha na tatu mlizomchiti davido bas unapagawa na kuandikia wanaume wenzio magazeti. Hahahhahaha kiba atawapelekesha sana mwaka huu, pumzika sasa mana najua ushajiandaa kwa thread kama tano kumzungumzia kiba soon hahhahahahaahahhahah!! Wazee wa kolabo
 
Kukuignore sio kuishiwa hoja mzee tatizo unaish kwa kutumia past na sio present, wake up dude hiyo historia tulinyakua tuzo bla bla bla ukijumlisha na tatu mlizomchiti davido bas unapagawa na kuandikia wanaume wenzio magazeti. Hahahhahaha kiba atawapelekesha sana mwaka huu, pumzika sasa mana najua ushajiandaa kwa thread kama tano kumzungumzia kiba soon hahhahahahaahahhahah!! Wazee wa kolabo

Ww hili Gazeti umemuandikia mwanamke Mwenzio au???
 
Huyu jamaa kashapanic sasa video mpya kila wiki alafu zinabuma zote.

Asubirie j3 king ataenda kuisimamisha dunia
Tunataka kazi acha kuugulia,kazi huwa hazina kubebwa mumeshanza kutaka kumpangia namna ya kutoa, sokoni kuna kazi ngapi zenyewe huzioni????
 
wasafiiiiiiiii

In shaa Allah panapo uzima mwezi wa8 mwishoni tutapata video mpya kwa mujibu wa Tale ,

Nacho jiuliza tu sijui itakuwa ipi ase maana zipo kibao hazijaachiwa kuna ft Psqure,ft a.k.a , ft usher,ft nani nani sijui aaaaa

mafikizolo labda
 
Back
Top Bottom