Pre GE2025 PICHA: Vijana wa UVCCM walivyopiga magoti na mabango ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM

Pre GE2025 PICHA: Vijana wa UVCCM walivyopiga magoti na mabango ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

1738760752092.png

1738760857257.png

1738761044410.png
Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
 
Wakuu

Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
Na mashaka na future ya hii nchi
 
Na mashaka na future ya hii nchi
Umechelewa sana kuanza kuwa na mashaka na future ya hii nchi.

Wenye akili tulishaliona hili siku nyingi sana na ndo mana tukaona vyovyote vile lazima tupiganie KATIBA MPYA na CCM ipumzishwe maana wanapoipeleka hii nchi kuna siku tutalia na kusaga meno
 
Wakuu

Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
Screenshot_20250205-164136.jpg

Hawa vijana ndiyo kila uchwao wanatiririka na comments za uchawa humu JF na ndiyo recruits wa TISS.
 
Wakuu

Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?

Wanapiga magoti kwa Mungu wao. Kufuru kubwa sana hii. Wanatengeneza maboya ili kuwayatawala milele. Kizazi cha kupiga magoti, kizazi cha machawa kuwarithi machawa tulionao sasa.
 
UKiwatizama vizuri wote wanaonekana njaa kali, jobless and hopeless skinny niggas.

hapa bila shaka comrade chawa, raisi wa machawa mr mashambwa atakuepo.
Wakuu

Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.

Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
 
Shida ni wanachokifanya au wanayemfanyia ? (Sababu kuna tofauti) Na issue iliyopo sasa sio kukemea upuuzi na mambo ya ajabu bali ni mambo hayo na upuuzi anayafanya nani na kwa nani ?

Uchawa hauna Gwanda wala Gamba..., Na kama wenye nchi (wananchi) tusipoangalia tutakuwa tunabadilisha chupa badala ya Mvinyo...
 
Gwanda haliwezi kugalagala kwasababu ya Demu,hayo ni mambo ya Gamba.
Haipaswi kugalagala kwa yoyote yule, ila ndio hivyo huku wanaweza kuitwa machawa na wapuuzi lakini kule ukasikia jinsi Chama kilivyowakaa Mioyoni Wananchi; all in all two sides of the same coin na kupoteza rasilimali muda kwenye pettiness....
 
Back
Top Bottom