Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Kuwepo vijana wa hovyo kama hawa ni matumizi mabaya ya maniiWakuu
Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.
Abdominal sicknessWakuu
Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.
Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
Mmmh !Kuwepo vijana wa hovyo kama hawa ni matumizi mabaya ya manii
Na mashaka na future ya hii nchiWakuu
Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.
Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
Umechelewa sana kuanza kuwa na mashaka na future ya hii nchi.Na mashaka na future ya hii nchi
Hakika ni wa kuhurumia,,!Hawa Vijana wanatia huruma.
Wakuu
Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.
Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
Wakuu
Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.
Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
Wakuu
Hawa ni Vijana wakiwa wamepiga magoti na mabango kwenye Maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, zinapofanyika sherehe za miaka 48 ya Chama Cha Mapinduzi.
Soma, Pia: Kuelekea Uchaguzi 2025: Vijana tunafanya nini kuongeza ushiriki wenye tija na kuwapata viongozi bora wasioendekeza uchawa?
UNATEGEMEA KUNA WATU WENYE AKILI HAPA ZAIDI YA VILAZA? ANASTAHILI KUPIGIWA MAGOTI NI YESU KRISTO TU NA SI MWANADAMU. ANY WEYI TUACHE KIZIMKAZI ACHUKUE SIFA ZA BWANA ILI BWANA AMFYEKELEE MBALIView attachment 3226162
Hawa vijana ndiyo kila uchwao wanatiririka na comments za uchawa humu JF na ndiyo recruits wa TISS.
Gwanda haliwezi kugalagala kwasababu ya Demu,hayo ni mambo ya Gamba.Gwanda
Haipaswi kugalagala kwa yoyote yule, ila ndio hivyo huku wanaweza kuitwa machawa na wapuuzi lakini kule ukasikia jinsi Chama kilivyowakaa Mioyoni Wananchi; all in all two sides of the same coin na kupoteza rasilimali muda kwenye pettiness....Gwanda haliwezi kugalagala kwasababu ya Demu,hayo ni mambo ya Gamba.