Pre GE2025 PICHA: Vijana wa UVCCM walivyopiga magoti na mabango ya Rais Samia kwenye sherehe za miaka 48 ya CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu kijana wetu ana miaka 80 tunajivunia kuwa nae kwenye chama chetu....CCM tuna hazina kubwa ya vijana
 
Haipaswi kugalagala kwa yoyote yule, ila ndio hivyo huku wanaweza kuitwa machawa na wapuuzi lakini kule ukasikia jinsi Chama kilivyowakaa Mioyoni Wananchi; all in all two sides of the same coin na kupoteza rasilimali muda kwenye pettiness....
Chadema chawa alikuwa ni Yericko kwasababu alikuwa anafaidika na Host wake kuwa Mwenyekiti.
 
Huyu kijana wetu ana miaka 80 tunajivunia kuwa nae kwenye chama chetu....CCM tuna hazina kubwa ya vijanaView attachment 3226172
Hivi hiyo rangi nyeusi inayowakilisha Waafrika weusi siku hizi imebaki kwenye Suruwali na Hijabu pekee hata kwenye Bendera yao wameitoa hawa CCM ni wanafiki sana.

CHADEMA tunaienzi hiyo rangi kwa vitendo na kwenye Bendera iko.
 
Future inasikitisha aisee, by anymeans necessary bila katiba mpya uelekeo ni shimoni
 
Hivi hiyo rangi nyeusi inayowakilisha Waafrika weusi siku hizi imebaki kwenye Suruwali na Hijabu pekee hata kwenye Bendera yao wameitoa hawa CCM ni wanafiki sana.

CHADEMA tunaienzi hiyo rangi kwa vitendo na kwenye Bendera iko.
Ndiyo maana wamemchangua huyu Mzee wasira ili aendelee kulala kwenye mikutano yao
 
Kwa kifupi hawa ni vijana wasiojitambua.
 
Ukosefu wa AJIRA Kwa vijana ni JANGA la kitaifa. Litazamwe.

Kazi ni kipimo cha utu
 
Tlaatlaah namuona hapo mbele amepanua Domo kigentlemen halafu amepauka Kwa kiu na njaa kali. @LucasMwashambwa naona hapo Bado hajanaawa Yale matope vizuri.
 
Aise hap uwezi mkuta mtt wa majaliwa,sa100,kikwete,sijuw vigogo hapo uwaoni 🙆🙆umaskini wa fikra jangaa mbayasana
 
Naliona li lucas mtu wa shamba limo hapo linachekelee tu ka zuzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…