Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Snapinst.app_472120321_18483749140057742_6759556125269846372_n_1080.jpg

Snapinst.app_474099300_18483749113057742_8798933187995372381_n_1080.jpg

Snapinst.app_472623664_18483749131057742_6587271890869488602_n_1080.jpg
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Kumbe UVCCM
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Hii imefanyika lini!? Aisee, CCM mbona imepoa hivi!? Wanafanya maandamano na hatujui!?
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

chadema hapo hawana kitu
 
Muwe mnaangalia na upepo uliopo, leo story ni LISSU halafu unakuja na thread za mtu aliyepitishwa kugombea kinyume na katiba ya chama chake!?,una akili kweli!?,au ndo yale ya kulipwa kwa kila thread unayoanzisha ku support CCM!??


Kwa hiyo kwa sababu Lissu kashinda ndio tusijadili mambo mengine dunia isimame?

Tuliza Oestrogen hizo na uache kupanic hovyo.

Ka jinga 😂
 
Kwangu mimi kumuona kijana anaipamba na kuizungumzia kila wakati CCM eti inafanya vyema, huwa naona ni hasara kwa mwelekeo wa taifa na kama kuzaa ni mchezo wa karata basi wazazi walilamba mavi.
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
 
Back
Top Bottom