Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Hivi Kuna majobless humo kweli? Kama wapo basi tuna safari ndefu Sana kama nchi.
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Wamaepa katiba na utaratibu sasa wanajaribu kuhalalisha haramu kwa matembezi ya vijana waliyolishwa nyama choma.🤣😂
 
Ccm kazi wanayo wanatembeza njugu kwa wanachuo kweli, kazi wanayo
 
Vijana wa UVCCM hufanya hivyo kwa posho kamili while vijana wa CHADEMA wanaweza kufanya hivyo bure kabisa.
Kwahiyo hapo kinachofanya maandamano ni pesa sio watu
 
Back
Top Bottom