Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwangu mimi kumuona kijana anaipamba na kuizungumzia kila wakati CCM eti inafanya vyema, huwa naona ni hasara kwa mwelekeo wa taifa na kama kuzaa ni mchezo wa karata basi wazazi walilamba mavi.
huwezi kuona kijana anaelipa kodi yupo kwa huo upuuzi
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Niliwaona hao jana..niliwapitia karibu walikuwa wananuka JASHO KALI SANA na wengi wamevaa makandambili.
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Matembezi ya kudai ajira yatafanyiia lini?
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Wavae neutral colors
 
Kuna usemi huu kwa jirani zetu…’ Unajua status yako kiafya? Unaijua????ni + au - 🤣🤣🤣
Tuwaache
Na hivi turampu amejitoa kwenye who mmmh
Yajayo yanafurahisha sana!
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

UVCCM si ni jumuia ya chama? Mkutano mkuu wa chama si umempitisha mama kuwa mgombea? Sasa UVCCM wanaandamana kumuunga mkono nani tena?
 
Hiyo nguvu ingeelekezwa huku. Tungekuwa mbali sana
images - 2024-03-28T120532.853.jpeg
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Hata mimi ukinilipa perdiem naunga mkono 😆... Ingekuwa ni hiari hao watu hata 30 kufika ingekuwa mtihani
 
Afrika inafikirisha sana...tumelogwa na alotuloga keshafariki...vijana?
 
Wapumbavu walioko on Payroll


..Mwalimu Nyerere alikuwa yeye mwenyewe akiandamana au kufanya matembezi kuunga mkono au kuhimiza jambo fulani. Siku hizi tunaonyeshwa msafara wa ma-V8 na vimulimuli vya mwenyekiti na genge lake.
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Hapo asilimia 99,ni, vilaza, wanachuo,jobless, hakuna kijana mwenye ajira yake pale Vodacom, tigo,uhwmiaji, tra, nssf,madini, migodini, anaweza kuomba ruksa kazini akafsnya huu upuuzi, watoto wa mabwana zenu, mawaziri, ni, wapo UN, wanapiga pesa, nyie mnatembeza mbariga eti samia mama!?mama yenu kawazaa? Kama ni mama yenu mbona hamna maisha ksma Abdul! These kind of youths are stain inchumanity
 
Back
Top Bottom