Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwezi kuona kijana anaelipa kodi yupo kwa huo upuuziKwangu mimi kumuona kijana anaipamba na kuizungumzia kila wakati CCM eti inafanya vyema, huwa naona ni hasara kwa mwelekeo wa taifa na kama kuzaa ni mchezo wa karata basi wazazi walilamba mavi.
Niliwaona hao jana..niliwapitia karibu walikuwa wananuka JASHO KALI SANA na wengi wamevaa makandambili.Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.
Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K
Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.
Matembezi ya kudai ajira yatafanyiia lini?Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.
Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K
Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.
Wavae neutral colorsVijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.
Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K
Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.
UVCCM si ni jumuia ya chama? Mkutano mkuu wa chama si umempitisha mama kuwa mgombea? Sasa UVCCM wanaandamana kumuunga mkono nani tena?Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.
Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K
Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.
Hata mimi ukinilipa perdiem naunga mkono 😆... Ingekuwa ni hiari hao watu hata 30 kufika ingekuwa mtihaniVijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.
Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K
Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.
Wapumbavu walioko on PayrollCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
Nchi haijabubujikwa machoziLucas Mwashambwa mbona nchi haijasimama kushangilia kushindwa Kwa Mbowe? Sijaone thread!
Nasubiri matakataka kutokea kwenye ubongo uliojaa uchafu na nzi
BAVICHA nao wanaruhusiwa kuandamana kusherehekea ushindi wa Lissu?😀😀
Wapumbavu walioko on Payroll
Ni huzuni Kwa taifa, kesho ya taifa hili ni kiza kinene..Praise and worshiping politicias, ni ugonjwa mbaya sana, na hawa ndio vijana ambao wanatarajiwa kuwa viongozi wa kesho?
Dah
Hapo asilimia 99,ni, vilaza, wanachuo,jobless, hakuna kijana mwenye ajira yake pale Vodacom, tigo,uhwmiaji, tra, nssf,madini, migodini, anaweza kuomba ruksa kazini akafsnya huu upuuzi, watoto wa mabwana zenu, mawaziri, ni, wapo UN, wanapiga pesa, nyie mnatembeza mbariga eti samia mama!?mama yenu kawazaa? Kama ni mama yenu mbona hamna maisha ksma Abdul! These kind of youths are stain inchumanityVijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.
Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K
Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
😂🤣😂🤣😂😂🤣🤣🤣😂Kiwango cha juu cha UJINGA