Pre GE2025 Picha: Viongozi wa Dini wakiwa viwanja vya Leaders, Kuliombea Taifa Amani na Rais Samia Suluhu Hassan

Pre GE2025 Picha: Viongozi wa Dini wakiwa viwanja vya Leaders, Kuliombea Taifa Amani na Rais Samia Suluhu Hassan

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Screenshot 2025-03-01 012514.png
Screenshot 2025-03-01 012525.png
Screenshot 2025-03-01 012534.png
Screenshot 2025-03-01 012546.png
Screenshot 2025-03-01 012618.png
 
Maombi! Badala ya kuweka mifumo bora ya maisha na ustawi kwa wenye nchi (watanzania) na kuweka mifumo ya haki kwa watu wote et wanakazana kwenye Maombi!

Hamnaga hiyo,theoretically inagoma.

Kwanza jambo baya kabisa ni watu kupotea,mara wakutwe wamekufa!
 
Naunga mkono hoja....

#Tuliombee taifa!
#Tumuombee Rais wetu mh.Samia Suluhu Hassan ,amen!
 
Naunga mkono hoja....

#Tuliombee taifa!
#Tumuombee Rais wetu mh.Samia Suluhu Hassan ,amen!
 
Upuuzi puuzi tu, kwa moto aliowashiwa Zelensky mbele ya waandishi wa habari hadharani ndani ya White house, sijui hali huwa inakuwaje Trump akikutana na viongozi wapuuzi puuzi kutoka Shit hole countries inawezekana hata akawatandika vibao.
Badala ya kuweka pesa kwenye mambo ya msingi wao wanalipa matapeli wawapigie kampeni. Shenzi taipu
 
Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Vipi waliombea Haki na Uchaguzi uwe huru ? Au wamemuombea mgombea mmoja tu?
 
Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Akina Mwamposa ndio viongozi wa dini?!
 
Hahahaa, na uzuri ni kuwa hata uombeje haimaanishi kumshawishi Mungu ayafanye tuyatakayo sisi
 
Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Hayo "maombi" ni porojo. Hao Japan, Singapore, china, Australia, Norway Huwa wanamuomba nani. Mbona wako mbali sana kwenye karibia Kila eneo!
 
Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Ulisikia wapi service ya engine ya gari inafanywa kwa maombi? Badala ya kufungua ……… ndicho tunacho kifanya sisi nchi hii ina hitaji mabadiliko ya kimfumo na cyo maombi na hichi kinacho endelea hapani kampeni na hawa wanaojiita watumishi wamesha ingia kwny mfumo
 
Upuuzi puuzi tu, kwa moto aliowashiwa Zelensky mbele ya waandishi wa habari hadharani ndani ya White house, sijui hali huwa inakuwaje Trump akikutana na viongozi wapuuzi puuzi kutoka Shit hole countries inawezekana hata akawatandika vibao.
Badala ya kuweka pesa kwenye mambo ya msingi wao wanalipa matapeli wawapigie kampeni. Shenzi taipu
Dah!!!nimecheka kama mazuri vile
 
Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Hao wote wapigaji tu hakuna kiongozi wa kidini hapo. Huwezi kuombea amani bila kuombea haki huo ni uchawa tu.
 
Back
Top Bottom