Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni upuuzi tupu.Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Mawazo chanyaMaombi! Badala ya kuweka mifumo bora ya maisha na ustawi kwa wenye nchi (watanzania) na kuweka mifumo ya haki kwa watu wote et wanakazana kwenye Maombi!
Hamnaga hiyo,theoretically inagoma.
Kwanza jambo baya kabisa ni watu kupotea,mara wakutwe wamekufa!
Maombi Tu?Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Ni jambo la kizalendo sana kuliombea Taifa na kumuombea kheri Dr Samia Suluhu Hassan rais na kipenzi cha waTanzania wote, Mungu amjalie afya njema na maisha marefu zaidi katika kuliongoza taifa kwa ufanisi na maendeleo makubwa.Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
ikisindikizwa na kitumbua cha mama.Ngoja tuendelee kunywa chai ya mama
View attachment 3254248
Mbona Magu walikuwa hawamuombei huyu imekuwajwViongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Naam hata qoutation tuna mqoute Trump.., as if kina Nyerere na kina Thomas Sankara hawakusema the same....Trump alisema Umasikini wetu wa Afrika hautaondoka Kwa kuombewa na Viongozi wa Dini, bali Kwa kufanya kazi na kupata Kiongozi wa Nchi mwenye maono
Otherwise, hadi toothpick tutaagiza China 🙌
Hao akina Nyerere quotes zao zinaweza kuwa ngumu kuzipata, ila Trump ameongea juzi tu hadi ukitaka ushahidi wa Video unapatikana 🤗Naam hata qoutation tuna mqoute Trump.., as if kina Nyerere na kina Thomas Sankara hawakusema the same....
By the way kazi kwa sasa does not necessarily pay bali kuacha kuwa marginalized na kina hao Trump na viongozi wasio wazalendo na wapenda 10%
Hawa wanaliombea taifa au wanamchokoza Mungu ashushe laana, maana uchawa umeingia hadi kwenye madhabahu, na Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu. Kuna kitu wanakitafuta hawa watakipata tu hivi punde. Mungu HadhihakiwiViongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025