imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwanini wasiombe KATIBA MPYA NA TUME HURU?!Naunga mkono hoja....
#Tuliombee taifa!
#Tumuombee Rais wetu mh.Samia Suluhu Hassan ,amen!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wasiombe KATIBA MPYA NA TUME HURU?!Naunga mkono hoja....
#Tuliombee taifa!
#Tumuombee Rais wetu mh.Samia Suluhu Hassan ,amen!
Mashehe wamekula kona!Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
“Hamnaga hiyo Theoretically inagoma “😂Maombi! Badala ya kuweka mifumo bora ya maisha na ustawi kwa wenye nchi (watanzania) na kuweka mifumo ya haki kwa watu wote et wanakazana kwenye Maombi!
Hamnaga hiyo,theoretically inagoma.
Kwanza jambo baya kabisa ni watu kupotea,mara wakutwe wamekufa!
Hao ni wale viingozi wanaopokea bahasha kutoka kwa mkuu.Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Maombi ya wenye dhambi ni kelele mbele za Mungu.Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Maombi ya wenye dhambi ni kelele mbele za Mungu.Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025