Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
DaahhViongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Wapiga deal kaziniViongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Vipi waliombea Haki na Uchaguzi uwe huru ? Au wamemuombea mgombea mmoja tu?Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Akina Mwamposa ndio viongozi wa dini?!Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Hayo "maombi" ni porojo. Hao Japan, Singapore, china, Australia, Norway Huwa wanamuomba nani. Mbona wako mbali sana kwenye karibia Kila eneo!Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Ulisikia wapi service ya engine ya gari inafanywa kwa maombi? Badala ya kufungua ……… ndicho tunacho kifanya sisi nchi hii ina hitaji mabadiliko ya kimfumo na cyo maombi na hichi kinacho endelea hapani kampeni na hawa wanaojiita watumishi wamesha ingia kwny mfumoViongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025
Dah!!!nimecheka kama mazuri vileUpuuzi puuzi tu, kwa moto aliowashiwa Zelensky mbele ya waandishi wa habari hadharani ndani ya White house, sijui hali huwa inakuwaje Trump akikutana na viongozi wapuuzi puuzi kutoka Shit hole countries inawezekana hata akawatandika vibao.
Badala ya kuweka pesa kwenye mambo ya msingi wao wanalipa matapeli wawapigie kampeni. Shenzi taipu
Hao wote wapigaji tu hakuna kiongozi wa kidini hapo. Huwezi kuombea amani bila kuombea haki huo ni uchawa tu.Viongozi mbalimbali wa Dini wakiwa katika Viwanja vya Leaders tayari kwa ajili ya maombi ya Kitaifa ya kuliombea Taifa Amani pamoja na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Soma Pia: Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025