Picha: Vyombo vya CCM

Nadhani hizi zitagawiwa Kwa Makatibu Kata ili kuwa Chachu ya Ushindi wa CCM kwenye Uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa baadaye Mwaka huu.

Hopefully na vyama vya Upinzani watakuwa wamepata cha kujifunza kuelekea Uchaguzi Ujao wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…