PICHA: Wabunge wakishiriki shindano la kula kwenye Bunge Bonanza 2025

Tufwile!
Kulikuwa na ulazima wa kufanya mashindano ya kula?
 
Wabunge hawajamsikia.Trump.lalianzisha huko la kubana matumizi wao.wangejiandaa maana hakuna namna inabidina sisi tupunguze idadi ya wabunge wanaokula hela ya.serikali.
Yafaa kila mkoa uwe na wabunge wanne tu, KE-2 na ME-2, jumla 124 nchi Nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…