Katika bonanza hili pia imechezwa mechi ya Wabunge ambao ni mashabiki wa Simba na Yanga ambapo mechi imemalizika kwa Yanga kupoteza kwa bao 4-0 View attachment 3220986
Wabunge hawajamsikia.Trump.lalianzisha huko la kubana matumizi wao.wangejiandaa maana hakuna namna inabidina sisi tupunguze idadi ya wabunge wanaokula hela ya.serikali.