Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshindwa kuvumilia....😂😂😂Hiko Chakula ningekiweka Nyongo ya Mamba.
Hatuwezi kuongozwa na masenge ya level hii never.
😆😆😆Kama mataila tu ..hayasaidii wananchi kbs.
😆😆😆😆😆🤚mabombonya
Na ndiyo wamejazwaaa huko na wanataka kumuongeza manara huko bunge lizidi kuwa la lopolopoooNchi hiii!!!!!!!!!
Bungenu kuna kundi la wapumbavu wanaoitwa wawakilishi wa wananchi.
Sasa hayo mambo kweli relevance yake ni nini?
Huwez kuta ushenzi kama huo kwenye Congress au Dumas
Mambo mengine ya aibu Sana.Umeshindwa kuvumilia....😂😂😂
Eeeh, hii ni AIBU ya dunia aiseeh , wabunge wa kujadili taabu za wapiga kura !Imagine unasoma mada kuna mama huko hawezi wapa watoto wake mlo.
Halafu huku matajiri (kupitia kodi) za maskini na watu wanao wawakilisha, wanajirekodi kabisa wanavyochezea chakula.
Hawako sensitive kabisa na shida za wananchi wao.
Ni watu wa hovyo hawa majamaa.