maiko sultan
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 549
- 1,492
Kuna mtu akiona hizo picha anabubujikwa na machozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutajisaidia wenyewe 😂Kama mataila tu ..hayasaidii wananchi kbs.
Wale vya mwishomwisho hawana tijaWabunge na wafanyakazi wengine wa Bunge wakishiriki kwenye shindano la kula kwenye kilele cha Bunge Bonanza 2025.
BABU YAO NANI SLAA?Wao na yule babu yao wote akili sawa
Mwashambwa hayupo?!!Na wamenona kweli namwona Tlaatlaah mwenye t-shirt nyeupe.
Ndio Tena hata ya kugida farujohn!Haya mambo kweli bado yanafanyika karne hii?!
Huyo hana cheo chochote mkuu.Mwashambwa hayupo?!!
Lukas Mwashambwa na tlaahtlaah!Wanalowa kwa machozi!Kuna mtu akiona hizo picha anabubujikwa na machozi.
Na hasa akiwaona waheshimika hao wakila wali na maharage kama wafanyavyo wanyonge wasio na uwezo wa kununua kuku.Kuna mtu akiona hizo picha anabubujikwa na machozi.
Umewaza nje ya box mkuu...haya madude yanatafuta kikWanatafuta relevance tu angalau wapate media coverage baada ya kupuuzwa tangu enzi za jiwe
Au wenyewe kwa wenyeweBora hata kukata gogo.. wanaenda kudandiana iwe mke wa mtu au mume wa mtu hawajali ni mwendo wa masihara
Siyo kama bali ndo hivyoKama mataila tu ..hayasaidii wananchi kbs.