PICHA: Wabunge wakishiriki shindano la kula kwenye Bunge Bonanza 2025

PICHA: Wabunge wakishiriki shindano la kula kwenye Bunge Bonanza 2025

Imagine unasoma mada kuna mama huko hawezi wapa watoto wake mlo.

Halafu huku matajiri (kupitia kodi) za maskini na watu wanao wawakilisha, wanajirekodi kabisa wanavyochezea chakula.

Hawako sensitive kabisa na shida za wananchi wao.

Ni watu wa hovyo hawa majamaa.
Hyo inaitwa saa100 food rally 😄

Nasikia leaders club pia leo kuna kadansee ya saa100
Kila jambo saa100 saa100 tu

Ova
 
Ningeona wa maana, wangefanya shindano la kuchangia jamii zisizojiweza au kuwapa mitaji vijana na wenye uhitaji huo. Atakayechanga nyingi ndiyo mshindi.

Hii kula haina maana yoyote, kwao wala kwa jamii kiujumla. Hiko chakula bora wangepeleka kwa kaya masikini. Tukisema tuna Bunge, tunajidanganya, bali tuna majizi yaliyokusanywa yakajaa Bungeni kula kodi zetu. Na tuabze kampeni viti maalum vifutwe.
 
Bunge la ze komedy showwww
Binge la machawa
Bunge linalojali maslahi yao tu

Ova
 
Wabunge na wafanyakazi wengine wa Bunge wakishiriki kwenye shindano la kula kwenye kilele cha Bunge Bonanza 2025.View attachment 3220984View attachment 3220985

Pia, Soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika bonanza hili pia imechezwa mechi ya Wabunge ambao ni mashabiki wa Simba na Yanga ambapo mechi imemalizika kwa Yanga kupoteza kwa bao 4-0
View attachment 3220986
SIKU NYINGINE INABIDI WAWE na shindano LA KUTOA HOJA Bungeni
 
Lucas Mwashambwa hawa watu jaribuni kuwa na vikao elekizi nao ili walau wawe na mashindano hata ya kutoa hoja nzito nzito zenye kubadili mwelekeo wa Taifa kimaendeleao.
Kuna watu wanashida ya kusaka tonge kila Leo wao wanashindana kula dah🤔
 
Lucas Mwashambwa hawa watu jaribuni kuwa na vikao elekizi nao ili walau wawe na mashindano hata ya kutoa hoja nzito nzito zenye kubadili mwelekeo wa Taifa kimaendeleao.
Kuna watu wanashida ya kusaka tonge kila Leo wao wanashindana kula dah🤔
Kwani wewe huwa huzisikii hoja nzito nzito Bungeni. Halafu Maisha siyo vita. Kuna muda wa kutuliza ubongo. Ndio maana usipofanya baadhi ya mambo katika hatua fulani ya makuzi yako utakuja jikuta unafanya katika utu uzima wako. Isipo ila mwili na akili yako muda wa kufurahi utajikuta unakufa kwa msongo wa mawazo au kupata magonjwa ya ajabu ajabu tu.
 
Wabunge hawajamsikia.Trump.lalianzisha huko la kubana matumizi wao.wangejiandaa maana hakuna namna inabidina sisi tupunguze idadi ya wabunge wanaokula hela ya.serikali.
 
Back
Top Bottom