Picha: Wachezaji Kinda Wanaokuja kwa kasi Chama na Inonga Wakutana na Mayele, Wamuomba picha ya kumbukumbu

Picha: Wachezaji Kinda Wanaokuja kwa kasi Chama na Inonga Wakutana na Mayele, Wamuomba picha ya kumbukumbu

John Gregory

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2019
Posts
1,137
Reaction score
2,147
Kushoto ni mchezaji kinda anayekuja kwa kasi anayechezea Kilabu cha mpira cha Simba Sc na Kulia Kabisa ni Mchezaji anayetajwa kuwa tarajio kubwa kwa kikosi hicho, Wakiwa katika picha ya pamoja na mchezaji Nyota anayekipiga katika klabu maarufu na kubwa ukanda wa mashariki ya Afrika na Afrika kiujumla,Young Africans ambayo inashiriki na kuongoza katika msimamo wa ligi kadhaa kubwa za Afrika, Fiston Kalala Mayele.

Wachezaji hao walikutana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.Kwa sasa Fiston Mayele mwenye asili ya Congo DRC, Anayetajwa kuwaniwa na vilabu viwili vikubwa barani Ulaya anatarajiwa kukipiga katika timu yake ya taifa inayoshiriki katika michuano ya CHAN, The Leopards.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wachezaji hao wameshukuru na wamefurahi kupata bahati ya kukutana na nyota huyo huku wakisema ilikuwa ni ndoto zao za muda mrefu na sasa imetimia, Hivyo wanaahidi kujituma na kuongeza juhudi ili kufikia hatua kubwa iliyofikiwa na nyota huyo.

Wakati huo, Nyota huyo ameahidi kutoa ushirikiano na msaada pale itakapowezekana kwani no malengo yake ya siku nyingi kuona wachezaji wachanga wanaokuja katika soka wanafanikiwa na kutimiza ndoto zao.

REUTERS.

FB_IMG_16793033411026056.jpg
 
Utoto na upumbavu umekujaa Simba&Yanga zimewatoa akili watu wengi hii nchi ni dhaifu sana....ingekuwa kama Uingereza hadi timu ya daraja la 4 ina mashabiki wengi huu upumbavu tusingeuona wala kuusikia.
 
Utoto na upumbavu umekujaa Simba&Yanga zimewatoa akili watu wengi hii nchi ni dhaifu sana....ingekuwa kama Uingereza hadi timu ya daraja la 4 ina mashabiki wengi huu upumbavu tusingeuona wala kuusikia.
Mkuu tunazungumza ukweli ili wachezaji wachanga wapambane kuhakikisha Tanzania inasajili na inakuwa na wachezaji aina ya Mayele.Kwa nia njema kabisa.
 
Mkuu tunazungumza ukweli ili wachezaji wachanga wapambane kuhakikisha Tanzania inasajili na inakuwa na wachezaji aina ya Mayele.Kwa nia njema kabisa.
Ungeandika vizuri bila ushabiki ningekuelewa sana,ila umeandika kiushabiki.....andika KWA Uswazi hao makinda wapate ujumbe Wao.
 
Ungeandika vizuri bila ushabiki ningekuelewa sana,ila umeandika kiushabiki.....andika KWA Uswazi hao makinda wapate ujumbe Wao.
Sawa sawa mkuu, Ngoja nirekebishe uzi.
 
Musonda ndo aliyeomba chama apige picha na mayeleee,
Wachezaji wa Simba n maprosoooo, hawana shida na wacheza kombe la losers.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kushoto ni mchezaji kinda anayekuja kwa kasi anayechezea Kilabu cha mpira cha Simba Sc na Kulia Kabisa ni Mchezaji anayetajwa kuwa tarajio kubwa kwa kikosi hicho, Wakiwa katika picha ya pamoja na mchezaji Nyota anayekipiga katika klabu maarufu na kubwa ukanda wa mashariki ya Afrika na Afrika kiujumla,Young Africans ambayo inashiriki na kuongoza katika msimamo wa ligi kadhaa kubwa za Afrika, Fiston Kalala Mayele.

Wachezaji hao walikutana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.Kwa sasa Fiston Mayele mwenye asili ya Congo DRC, Anayetajwa kuwaniwa na vilabu viwili vikubwa barani Ulaya anatarajiwa kukipiga katika timu yake ya taifa inayoshiriki katika michuano ya CHAN, The Leopards.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wachezaji hao wameshukuru na wamefurahi kupata bahati ya kukutana na nyota huyo huku wakisema ilikuwa ni ndoto zao za muda mrefu na sasa imetimia, Hivyo wanaahidi kujituma na kuongeza juhudi ili kufikia hatua kubwa iliyofikiwa na nyota huyo.

Wakati huo, Nyota huyo ameahidi kutoa ushirikiano na msaada pale itakapowezekana kwani no malengo yake ya siku nyingi kuona wachezaji wachanga wanaokuja katika soka wanafanikiwa na kutimiza ndoto zao.

REUTERS.

View attachment 2559396
Ha haha haaaaaaa haaaaaaaaaaa.
Kushoto ni mchezaji kinda anayekuja kwa kasi anayechezea Kilabu cha mpira cha Simba Sc na Kulia Kabisa ni Mchezaji anayetajwa kuwa tarajio kubwa kwa kikosi hicho, Wakiwa katika picha ya pamoja na mchezaji Nyota anayekipiga katika klabu maarufu na kubwa ukanda wa mashariki ya Afrika na Afrika kiujumla,Young Africans ambayo inashiriki na kuongoza katika msimamo wa ligi kadhaa kubwa za Afrika, Fiston Kalala Mayele.

Wachezaji hao walikutana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.Kwa sasa Fiston Mayele mwenye asili ya Congo DRC, Anayetajwa kuwaniwa na vilabu viwili vikubwa barani Ulaya anatarajiwa kukipiga katika timu yake ya taifa inayoshiriki katika michuano ya CHAN, The Leopards.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wachezaji hao wameshukuru na wamefurahi kupata bahati ya kukutana na nyota huyo huku wakisema ilikuwa ni ndoto zao za muda mrefu na sasa imetimia, Hivyo wanaahidi kujituma na kuongeza juhudi ili kufikia hatua kubwa iliyofikiwa na nyota huyo.

Wakati huo, Nyota huyo ameahidi kutoa ushirikiano na msaada pale itakapowezekana kwani no malengo yake ya siku nyingi kuona wachezaji wachanga wanaokuja katika soka wanafanikiwa na kutimiza ndoto zao.

REUTERS.

View attachment 2559396
Haha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.
 
Yaani ujinga wako unadhani hadi hao wachezaji wanao, hujashangaa chama alikuwa timu moja na kisinda berkane
 
Back
Top Bottom