Pre GE2025 Picha: Wameamua kumdhalilisha Peter Msigwa. Ukimtazama usoni amefadhaika sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha

Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.

 
Singependa kutumia hili neno, Lakini ni kweli Yaani anakuwa kama takataka, labda watampa million 50 halafu bai bai
 
Heshima na tamaa haviishi nyumba moja, Rev ameyatimba😄😄😄😄
 
Huyu mama kuna katuni ya chura anavo fanana naye kweli mungu hakosei au shetani anapatia
 
Mwenye njaa hanaga mwiko
 
Maisha yake hivi sasa anaishi vile watakavyo wao.
 
Pole yake.Karudi kwenye default mode.Katumia miaka mingi kujijenga alafu kajiharibu kwa siku moja.Hapo hana tena agenda yakusaidia wananchi zaidi ya kuisema chadema maana kaungana na wale aliowasema wanatatua matatizo kwakutumia akili zile zile zilizozitengeneza.Hadi sasa hakuna kilichobadilika kwahiyo kaamua kua sehemu ya tatizo kwahiyo kubebeshwa makaratasi ni sawa kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…