Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Singependa kutumia hili neno, Lakini ni kweli Yaani anakuwa kama takataka, labda watampa million 50 halafu bai baiMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Heshima na tamaa haviishi nyumba moja, Rev ameyatimba😄😄😄😄Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Huyu mama kuna katuni ya chura anavo fanana naye kweli mungu hakosei au shetani anapatiaMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Na wa CCM ana alama gani?Chadema akili division 0 wote hadi Mwenyekiti wenu Div 0
Bado Lema, usajili wa Makala siyo mchezo! Mbowe angekua habanii ruzuku,na yeye angemsajili Kibajaji na Mkulima ili game inogee zaidi!![emoji23][emoji23]Mchungaji Msigwa Oyeeeee [emoji23][emoji23]
Mwana kulitafuta, mwana kulipata.Kayataka mwenyewe
Mwenye njaa hanaga mwikoMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Maisha yake hivi sasa anaishi vile watakavyo wao.Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689