Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Nina swali wana jamvi; Je, hivi ni sahihi kutumia picha ya raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye shughuli za kichama?.
Kama ndio, Je, ni wakati gani? na pia ni wakati gani inatumika picha ya Mwenyekiti wa chama?.
Wataalamu tuelekezane kidogo hapa matumizi sahihi na yasiyo sahihi
Kama ndio, Je, ni wakati gani? na pia ni wakati gani inatumika picha ya Mwenyekiti wa chama?.
Wataalamu tuelekezane kidogo hapa matumizi sahihi na yasiyo sahihi