residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
CCM + vyombo vyote vya dola mna DiV 1 lakini hamlali kwa sababu ya DIV 0!!!??Chadema akili division 0 wote hadi Mwenyekiti wenu Div 0
Nani mwenye Div 0 halisi sasa hapo!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM + vyombo vyote vya dola mna DiV 1 lakini hamlali kwa sababu ya DIV 0!!!??Chadema akili division 0 wote hadi Mwenyekiti wenu Div 0
Jamani uchawi upo wakuuMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Mbona hivi, yaani Msigwa amekuwa wa kubebeshwa picha ya Samia huku akisimamiwa na askari wa CCM Rapid Force! Masikini Msigwa uliyataka mwenyewe ona sasa hata wanao wataaibika kukutazama usoni.Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Lakini acheni tu, maana Msigwa ametrend mwezi huu. Ni nyie ndio mmempa umaarufu kuliko alivyokuwa CHADEMA.Kayataka mwenyewe
Wamemfatilia sana.. mjinga dawa yake ni kumuachaLakini acheni tu, maana Msigwa ametrend mwezi huu. Ni nyie ndio mmempa umaarufu kuliko alivyokuwa CHADEMA.
Jumanne!Nitajie mmoja ambaye ana pesa na ni tajiri lakini hana thamani katika jamii yake. Mmoja tu!
Hizi akili za hovyo ndiyo zinamaliza hili taifa, utakuta mijitu mizima yenye uwezo wa kufanya kazi inalilia na kuongijea teuzi! What a shame! Kuna mijitu hasa ndani ya CCM nchi unafanya kazi kwa kujioendekeza lengo teuzi! Kuna Hawa sasa wanaojiita makada, eanaitana comred, ukikutana nao wanawaza teuzi tu, huwa nacheka kwa dharau ! Sababu haiwezekani watu zaidi ya 200 katika halmashauri 1 wote mnasubiri teuzi za Ukurugenzu na u-DC tatizo sana.Soon anakuwa DC au Katibu wa CCM Wilaya au Mkoa. Wewe utabaki bingwa wa kimkejeli JF yeye akipiga maisha mtaani!
Hizo ni katika kumfanya awe CCM kweli. Unakumbuka hadithi ya ''ng'ombe wenye mkia''Hivi hizo nguo wamempatia pair nyingi kwasababu haruhusiwi kuvaa suti tena.
Atabebeshwa sana. Mpaka amalize kulipa posho aliyopokea MCHEZO.!Na ameanza kuzeeka kwa kasi. Hakuna mwanaume atamheshimu mwanamke aliemsaliti mwanaume mwenzake. Zaidi ya kumtumia kimachale nakumuacha msaliti siku zote haaminiki.
Usimwamini mwanasiasaMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Nikweli siyo mwenzake, hivi kwa akili ndogo tu unaweza kuniambia Peter aliwaza sawsawa, kama jibu lako ni ndiyo, akili zako na za Peter ziko sawsawa. Peter aliibukia mkutano mkuu CCM, kukiwa na viongozi wote, hebu nambie unayemfahamu kwa hao aliopiga nao picha! Ni rahisi tu kuwa kazi yake hata kwa CCM haina tija.
Acha wivu dogo usijeitwa mchawi!Hizi akili za hovyo ndiyo zinamaliza hili taifa, utakuta mijitu mizima yenye uwezo wa kufanya kazi inalilia na kuongijea teuzi! What a shame! Kuna mijitu hasa ndani ya CCM nchi unafanya kazi kwa kujioendekeza lengo teuzi! Kuna Hawa sasa wanaojiita makada, eanaitana comred, ukikutana nao wanawaza teuzi tu, huwa nacheka kwa dharau ! Sababu haiwezekani watu zaidi ya 200 katika halmashauri 1 wote mnasubiri teuzi za Ukurugenzu na u-DC tatizo sana.