Kiungopunda
JF-Expert Member
- Oct 24, 2023
- 1,349
- 3,145
HahaaaaaaKutoa maamuzi wakati wa hasira.Kashikishwa picha utadhani mwizi wa kuku wametoka naye kule Kihesa Kilolo Iringa wanampeka pale central polisi.🤔🤔🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaaaaKutoa maamuzi wakati wa hasira.Kashikishwa picha utadhani mwizi wa kuku wametoka naye kule Kihesa Kilolo Iringa wanampeka pale central polisi.🤔🤔🤔
Akisoma hivi ulivyokomenti anakuona wewe ndiye wa kuja.Uchizi humuijia mtu bila kujijua.It catches someone without his/her awareness.🤔Msigwa dishi limeyumba
Utadhani katuni!!!Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Swali fikirishi je kisiki champingo kinaweza kuoza? 😂Yeah, Mpingo
Sawa tumekusikia.Chadema akili division 0 wote hadi Mwenyekiti wenu Div 0
Soon anakuwa DC au Katibu wa CCM Wilaya au Mkoa. Wewe utabaki bingwa wa kimkejeli JF yeye akipiga maisha mtaani!Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Mwanadamu hata upate nini madaraka au fedha ukidhalilishwa huna thamani mbele ya jamii.Soon anakuwa DC au Katibu wa CCM Wilaya au Mkoa. Wewe utabaki bingwa wa kimkejeli JF yeye akipiga maisha mtaani!
Sasa huko CCM kapewa nafasi gani ni nan msigwa ndani ya chamaMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
🤣 🤣 🤣View attachment 3047926
Bila kubeba hii picha sahau uDC.Njaa haina baunsa.
Msigwa ana familia tuendelee kuvumiliana.
Kula vya Watu kuna gharama zake. Sasa unategemea mtu Kama huyo akija kupata nafasi Atakua na hruma kwa wewe usiyejidhalilisha hivyo. Wakati mwingine Watu wanaiba kufidia machungu ya kujidhalilisha. Usifikiri hata wale wanaosema mama anaupifa mwingi kuwa Wanapenda.Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Nitajie mmoja ambaye ana pesa na ni tajiri lakini hana thamani katika jamii yake. Mmoja tu!Mwanadamu hata upate nini madaraka au fedha ukidhalilishwa huna thamani mbele ya jamii.
Hivi wewe ukilawitiwa na kupewa pesa nyingi unaweza kuzitambia huku watu wakitambua umepataje pesa hizo?
Kwahiyo mmemchukua Msigwa maana ana PhD?Chadema akili division 0 wote hadi Mwenyekiti wenu Div 0
Leo hii jamaa anabebeshwa picha njaa mbaya sanaMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689
Chadema hatuwataki, chama cha kikanda/udini, ukabila na ubaguziMaskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha
Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.
View attachment 3047689