Pre GE2025 Picha: Wameamua kumdhalilisha Peter Msigwa. Ukimtazama usoni amefadhaika sana

Pre GE2025 Picha: Wameamua kumdhalilisha Peter Msigwa. Ukimtazama usoni amefadhaika sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nimeongea jana na watu wawili mashuhuri pale Iringa (nahifadhi kwa sasa majina yao wasije potezwa) wakisikitishwa na kitendo anachofanyiwa aliyekuwa mbunge wao halali Peter Msigwa cha kubebeshwa Bango kama vijana wa Chipukizi. Ni kweli kwa sasa Msigwa anatumika kuitukana Chadema na hususani viongozi wake Mbowe na Lissu, na kuchonganisha na wengine.
Hiyo ni mission ya CCM kuelekea uchaguzi, lakini kumdhalilisha kwa kumbebesha mabango kama mzee yatima ni kuwatukana Watu wa Iringa walio wahi kumchagua kwa vipindi viwili huku cha Tatu wakiibiwa kura zao.
Hizi dharau haziendi kwa Msigwa au Chadema bali wana Iringa kuwa walikuwa wajinga kumchagua mtu wa hovyo kama mbeba mabango mpya wa CCM.
Msigwa aliyekuwa anaweza kuhenyeshana na kina Kinana leo hata katibu wa UVCCM Mwembetogwa anaweza kumpa majukumu?
#Wamelia sana!
Kawa kinyago cha ule mti mkavu sana nimesahau jina lake. Yaani anafanana sana kwa sasa.
Ila mjanja sana anaweza akarudi Chadema na kusema alienda CCM kupeleza; unajua akiongea mara ishirini watu wataamini. Ikiwezekana arudi sasa akakae benchi CDM kuliko benchi la CCM, hasa Iringa, labda ahamie kwao Njombe kule kweli ni CCM
 
Kawa kinyago cha ule mti mkavu sana nimesahau jina lake. Yaani anafanana sana kwa sasa.
Ila mjanja sana anaweza akarudi Chadema na kusema alienda CCM kupeleza; unajua akiongea mara ishirini watu wataamini. Ikiwezekana arudi sasa akakae benchi CDM kuliko benchi la CCM, hasa Iringa, labda ahamie kwao Njombe kule kweli ni CCM
Una maanisha mti wa Mpingo?
Tena hapo uwe umempata mmakonde mahiri wa kuchonga vinyago
 
Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha

Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.

View attachment 3047689
There is no short cuts on earth
 
Maskini. Wameamua tu kumdhalilisha. Wakimaliza kumtumia ataachwa ajiozoee somewhere. Wameamua kwa makusudi kumpiga picha wamemshikisha picha

Hakutegemea kwa kudhalilishwa hivi. Mwangalie usoni. Amepatwa na aibu na mfadhahiko mkubwa. Huyu Msigwa ambaye alikuwa kama mwanafalsafa flani. Sasa watoto WANAMSHIKISHA PICHA APIGWE PICHA.

View attachment 3047689
Kwa umri wake wa miaka 60 kukosa akili ni aibu kubwa sn, acha adhalilike
 
Pole yake.Karudi kwenye default mode.Katumia miaka mingi kujijenga alafu kajiharibu kwa siku moja.Hapo hana tena agenda yakusaidia wananchi zaidi ya kuisema chadema maana kaungana na wale aliowasema wanatatua matatizo kwakutumia akili zile zile zilizozitengeneza.Hadi sasa hakuna kilichobadilika kwahiyo kaamua kua sehemu ya tatizo kwahiyo kubebeshwa makaratasi ni sawa kwake.
Sahivi amekuwa kama mtoto yatima utumwani Misri, shenzi type
 
Inaonekana mchungaji kukosa uenyekiti wa Kanda imemchanganya sana kukubaliana na hiyo Hali itamchukua muda mrefu sana wakati huo atakuwa ameathirika sana kisaikolojia
Kutoa maamuzi wakati wa hasira.Kashikishwa picha utadhani mwizi wa kuku wametoka naye kule Kihesa Kilolo Iringa wanampeka pale central polisi.🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom