Picha wanazipenda kuchukua Watalii kama kumbukumbu ya utalii wao Afrika

Picha wanazipenda kuchukua Watalii kama kumbukumbu ya utalii wao Afrika

Anita Kajembe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2021
Posts
215
Reaction score
487
1625334111809.png
 
Inabidi waafrika tubadilike...mambo ya kuzaana tu bila mpangilio tuwaachie nyani sasa!

Hawa wazungu wanatuona hatuna thamani, hapo anajihisi kama amezungukwa na wanyama pori.
 
Inabidi waafrika tubadilike...mambo ya kuzaana tu bila mpangilio tuwaachie nyani sasa!

Hawa wazungu wanatuona hatuna thamani, hapo anajihisi kama amezungukwa na wanyama pori.
Tusingezaliana unafikiri nani angebeba box na kutuma hela kwa world remit?
 
Umenikumbusha kuna mzungu mmoja alikuja TZ Ngorongoro katika kutembelea zile boma za wamasai akakuta kuna mbwa amekondeana balaa mzungu wa watu alifadhaika mno na hakuweza kuendelea na tour ilibidi awe airlifted kurudishwa town na aliondoka nchini siku kadhaa mbele.

Yani kiujumla vacation yake iliharibika kabisa kisa kuona mbwa aliekonda kiasi kile.
 
Huyo dogo aliye inama hapo kama gladiator
1319933.jpg
 
Inabidi waafrika tubadilike...mambo ya kuzaana tu bila mpangilio tuwaachie nyani sasa!

Hawa wazungu wanatuona hatuna thamani, hapo anajihisi kama amezungukwa na wanyama pori.
Kwani shida ni kuzaliana, tena ndio safi tuwe wengi. Vyovyote watakavyotuona ni sisi si wao
 
Umenikumbusha kuna mzungu mmoja alikuja TZ Ngorongoro katika kutembelea zile boma za wamasai akakuta kuna mbwa amekondeana balaa mzungu wa watu alifadhaika mno na hakuweza kuendelea na tour ilibidi awe airlifted kurudishwa town na aliondoka nchini siku kadhaa mbele.

Yani kiujumla vacation yake iliharibika kabisa kisa kuona mbwa aliekonda kiasi kile.
Hapo bado ana bahati je angeshuhudia mbwa anapigwa tofali kwa kupita tu tena kwa amani si ndio angejinyonga kabisa

Mi nimeshudia kijijini mtoto akijisaidia kinyesi anaitwa mbwa ale,kwa Afrika mnyama hana haki
 
Hapo bado ana bahati je angeshuhudia mbwa anapigwa tofali kwa kupita tu tena kwa amani si ndio angejinyonga kabisa

Mi nimeshudia kijijini mtoto akijisaidia kinyesi anaitwa mbwa ale,kwa Afrika mnyama hana haki
Ukipita pare soko ra ma TX unaona mbwa yuko kiti cha mbele kwenye Lexus unashangaa.
 
Wengi wao wanakwenda kuzitumia vibaya picha Kama hizo. Wanaenda kusanya fedha kwa wahisani wakidai kutaka kuwasaidia masikini hao.
 
Wengi wao wanakwenda kuzitumia vibaya picha Kama hizo. Wanaenda kusanya fedha kwa wahisani wakidai kutaka kuwasaidia masikini hao.
Hasa kwa wazee matajili wanaoamini pesa yao inakwenda kwenye good cause wanapata amani mioyoni mwao.
 
Back
Top Bottom