Picha wanazopenda kuangalia wanawake kwenye simu zao

Picha wanazopenda kuangalia wanawake kwenye simu zao

Wanawake bwana huwa ni viumbe wa aina yake kama mambo yao yalivyo tu.

Unaweza mkuta katulia zake ukafikiri kuna jambo moja serious Sana analifanya kumbe,

Ataperuze picha kulingana na tukio lililoko mbele yake au analolitamani litokee,

1. Kama ni mja mzito ;

Atakua anaangalia vinguo vya watoto wa kiume na kike.

2. Kama anakaribia kuolewa au ana tamani kuolewa;

Atakua anatazama picha za magauni ya Harusi au picha za harusi za ndugu zake au marafiki.

3. Kama kashaolewa ;

Atakua anaangalia picha za mapazia na vitu vingine vya ndani kama maforonya etc.

4. Kama hajaolewa ila financially yuko stable au ana sponsor ;

Atakuwa anaangalia picha za mabegi mapya, style mpya za misuko, rangi za kucha, kope, viatu vipya, magauni , perfume, lipstick n.k.

Hao ndio wanawake na picha wanazopenda kuangalia kwenye simu zao.
Rejea kufanya upya Utafiti wako, ila ninachojua 85% ya Wanawake wakiwa Chobingo na Simu zao 24/7 ni Kuangalia Mitombo na Kunyegeka mno.
 
Wanawake bwana huwa ni viumbe wa aina yake kama mambo yao yalivyo tu.

Unaweza mkuta katulia zake ukafikiri kuna jambo moja serious Sana analifanya kumbe,

Ataperuze picha kulingana na tukio lililoko mbele yake au analolitamani litokee,

1. Kama ni mja mzito ;

Atakua anaangalia vinguo vya watoto wa kiume na kike.

2. Kama anakaribia kuolewa au ana tamani kuolewa;

Atakua anatazama picha za magauni ya Harusi au picha za harusi za ndugu zake au marafiki.

3. Kama kashaolewa ;

Atakua anaangalia picha za mapazia na vitu vingine vya ndani kama maforonya etc.

4. Kama hajaolewa ila financially yuko stable au ana sponsor ;

Atakuwa anaangalia picha za mabegi mapya, style mpya za misuko, rangi za kucha, kope, viatu vipya, magauni , perfume, lipstick n.k.

Hao ndio wanawake na picha wanazopenda kuangalia kwenye simu zao.
Wakiwa na nyege huwa wanaangalia lesbian porn trust me.
 
Kuna huyo nilikua nae, kajaza screenshots za Harusi za ki naija(hawajui wahusika),mwamposa na mishono ya vitenge[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona mimi sipo kwenye hili kundi linaitwa wanawake kabisaaaa, mana nimekagua kote sijaona nafit eneo lipi.
 
Unachokisema ni kweli kbs wanawake wengi wanafanya hayo unayosema....

Hawapendi kufanya mambo kwa akulipua lipua
 
Wanawake bwana huwa ni viumbe wa aina yake kama mambo yao yalivyo tu.

Unaweza mkuta katulia zake ukafikiri kuna jambo moja serious Sana analifanya kumbe,

Ataperuze picha kulingana na tukio lililoko mbele yake au analolitamani litokee,

1. Kama ni mja mzito ;

Atakua anaangalia vinguo vya watoto wa kiume na kike.

2. Kama anakaribia kuolewa au ana tamani kuolewa;

Atakua anatazama picha za magauni ya Harusi au picha za harusi za ndugu zake au marafiki.

3. Kama kashaolewa ;

Atakua anaangalia picha za mapazia na vitu vingine vya ndani kama maforonya etc.

4. Kama hajaolewa ila financially yuko stable au ana sponsor ;

Atakuwa anaangalia picha za mabegi mapya, style mpya za misuko, rangi za kucha, kope, viatu vipya, magauni , perfume, lipstick n.k.

Hao ndio wanawake na picha wanazopenda kuangalia kwenye simu zao.
Uko sahihi, yaani hata mimi ukiangalia screenshot zangu, na post zilizo save insta, utajua nawaza kufanya nini kwa muda huo...
Kunakipindi nilikuwa nimejaza picha za mama na mtoto mchanga.
Nikajaza pics za rangi na furniture za nyumba..
Then pics za dizain ya gari niliyokuwa nataka ku update!!
Nadhani hii inatokana na kuwa tupo selective, na pia tunafanya utafiti ili kujiridhisha na vitu tunavohitaji.....
And lastly kuweza kumshawishi fazahouse...maana mara nyingi wanaume wanapenda uwashawishi kwa kuwapa Cleary infos...
Ukienda kichwa kichwa wazo lako litatupiliwa kwa dustbin!!!!!!!
 
Uko sahihi, yaani hata mimi ukiangalia screenshot zangu, na post zilizo save insta, utajua nawaza kufanya nini kwa muda huo...
Kunakipindi nilikuwa nimejaza picha za mama na mtoto mchanga.
Nikajaza pics za rangi na furniture za nyumba..
Then pics za dizain ya gari niliyokuwa nataka ku update!!
Nadhani hii inatokana na kuwa tupo selective, na pia tunafanya utafiti ili kujiridhisha na vitu tunavohitaji.....
And lastly kuweza kumshawishi fazahouse...maana mara nyingi wanaume wanapenda uwashawishi kwa kuwapa Cleary infos...
Ukienda kichwa kichwa wazo lako litatupiliwa kwa dustbin!!!!!!!
You are right.

Hasa hapo kwenye part ya kushawishi.
 
Back
Top Bottom