Uchaguzi 2020 Picha wasizopenda kuziona Lumumba

Kuna watu humu ni mazuzu, kweli chama cha mboga mboga kina mizoga tupu...! Eti li mtu lina compare picha za watu waliokua wanajaa kwa lowasa 2015 na asaiv kwa lissu afu linasema upinzani ndio ulikua na nguvu kipindi hicho...

Skieni nyie mazuzu na mizoga ya lumumba, kipindi hicho UKAWA waliungana ndio maana kulikua na mafuriko ya watu wa vyama vyote vya upinzani kwenye mkutano wa mgombea mmoja waliomuweka, hivyo kulinganisha picha za lowasa na lissu ni ufinyu wa akili uliotukuka....

Kingine kipindi hicho MEDIA zote zilikua huru kutangaza taarifa na ratiba zote za mikutano ya kampeni za vyama vyote bila upendeleo, Asaiv watu tunafatilia kupitia social networks za wazungu kama WhatsApp, Twitter, JF, Telegram, Facebook na YouTube.... Kwaio upatikanaji wa taarifa kwa bibi & babu zetu huko vijijini wanaotegemea Radio Free Africa, TBC, Radio One n.k unakua mgumu kwa kutokana na kuminywa kwa uhuru wa vyombo vya habari.... CDM wanajaza watu ki halali bila extra force kutumika ila, Meko kujaza kwenye hii mikutano anatumia ushawishi wa mauno ya Diamond, Alikiba, Zuchu, Harmonie n.k ambao ni wasanii wanaopendwa na hiki kizazi kipya ndo wanaboost mikutano yake ndo maana hata wanafunzi na vitoto vidogo tunaviaona mikutano ya Meko sabu vingine vina full lyrics kichwani za vyimbo za hao wasanii wenu kuliko definitions za masomo so wakiwa wana perform staging vinafurahi tu kuigiliza nyimbo zao....[emoji23][emoji23]

Bila wasanii Meko angekua kituko kwenye kampeni zake...... Mboga mboga hamna kitu kabisa ni matapeli ya fikra za mlala hoi wa nchi hii...
 
Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu
Siyo hao pekee,kwa wakulima wa korosho,mbaazi,pamba,kahawa?Kuna wafanyabiashara walionyanyaswa na TRA,wafugaji waliotimuliwa nchi nzima,watumishi waliotumbuliwa na kuambiwa wana vyeti feki,vijana walioongezewa makato ya HELSB,waliokosa ajira,Wananchi waliobomoleshwa nyumbani zao bila fidia?Orodha ya wahanga wa huyu Baba ni ndefu,tujitafakari!
 
Hizi pumba huku jf hatuzitumii, pelekea kuku wale.


povu la nn nlikuepo kwenye mkutano pale sokoni na video izi apa

karibia watu kuanzia katikati wote walivaa ccm, dont get me wrong: napenda uchangamfu wa lema kwenye siasa na ningempa kura ila sasa inafika hatua watu wanachoka na siasa za mdomo na hakuna namna ingine zaidi ya kuondoka!
 
Nasikia kuna mgombea ameambiwa.

HATUKUTAKIIIIIIIII

Sijui ni kweli au stori tu
Mkuu ni kweli, wale watu wa mkoa wa kagera hawana maujinga, wamemwambia magufuri hatukutakiii, kwa hasira akawaambia msiponipigia kura mtaona, lakini pia aliagiza polisi wawakamate wale waliosikika wakisema hatukutakii
 
Mi mwenzenu nikiona picha ya Lisu siku yangu Inaenda smooth mno...yaan moyo unatakasika mnoo...! Mie siamini kMa huyu jamaa ni pure Tz!!ni genius mnooo...anamtoa jasho za makalio jpm
[emoji23][emoji23][emoji373][emoji1009]

Tutamkatisha pumzi mzee wa watu ujue?

Kila muda anasema Urais ni kazi ya mateso.

Afu aachii hiyo kazi, ana mpango mbaya huyu nishaona, atalipa visasi TU.


Tunaenda na LISSU TU.
 
Mkuu ni kweli, wale watu wa mkoa wa kagera hawana maujinga, wamemwambia magufuri hatukutakiii, kwa hasira akawaambia msiponipigia kura mtaona, lakini pia aliagiza polisi wawakamate wale waliosikika wakisema hatukutakii
BONGE LA AIBU.

NA MBWEMBWE ZOTE ZILE KUMBE HAKUNA MTU ANAMTAKA.

ZEE LA HOVYO KWELI LILE.
 
Mkuu ni kweli, wale watu wa mkoa wa kagera hawana maujinga, wamemwambia magufuri hatukutakiii, kwa hasira akawaambia msiponipigia kura mtaona, lakini pia aliagiza polisi wawakamate wale waliosikika wakisema hatukutakii
Mkuu
Imeshindikana kabisa kupata ka msaada ka clip, tuweze kukatumia kama ushahidi wa wakulungwa kumkataa Meko hadharani.
 
Mkuu
Imeshindikana kabisa kupata ka msaada ka clip, tuweze kukatumia kama ushahidi wa wakulungwa kumkataa Meko hadharani.
Walikata matangazo pale pale wakaweka nyimboza kampeni..so haiwez kuwepo..na hakuna mwenye chombo Cha habari mwenye guts za kuonesha..unataka afungiwe maisha
 
Walikata matangazo pale pale wakaweka nyimboza kampeni..so haiwez kuwepo..na hakuna mwenye chombo Cha habari mwenye guts za kuonesha..unataka afungiwe maisha
Kwa jinsi watz walivyo hodari wa kukusanya taarifa, wasingeshindwa kupata hata recorded voice au video fupi tu ya hilo tukio.

Kwenye hilo tumeingizwa mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…